eliringia babueli
Member
- Jul 28, 2015
- 36
- 4
Mungu bariki viongozi wote wa ukawa na yule ibilisi shetani
Sio rahisi kihivyo,hii post imekosa weledi wa uandishi
Wakuu salama?
Kwa habari nilizo zipata muda huu nikwamba chama cha mapinduzi kupitia kwa watu wa usalama wa taifa wamejaribu kila wawezalo kumrubuni dr slaa ili ajitoe chadema,habar zaid zinasema wamekuwa wanamfuata slaa nyumbani kwakwe kila siku wakimiomba ajitoe chadema hata kama hatahamia ccm basi apumzike siasa kwani wao watampa hiyo hela ili aondoke chadema.Mleta habaria anasema baada ya slaa kuelezwa hivyo aliwaambia kamwe hatakaa wala hatosubutu kuwasaliti mamilioni ya watanzania walioko nyuma yake na kamwe hiyo kwake itakuwa ni laana itakayo wamaliza ukoo wake na kizazi chao chote hivyo hatokaa ajaribu wala wasije mwambia tena habri kama hizo,Wakuu sasa ni wazi kuwa ngome ya ccm imebakia nyuzi ndogo sna zinashikilia kama imefika mahali sisiem hata hawamuogopi tena Mungu basi anguko lao limefika,na ikumbukwe hii ni baada ya ccm kuona timu ya ukawa imeshaundwa vya kutosha hivyo kuwatia kiwewe zaid ukijumlisha na lowassa aliyekuja kuongoza nguvu ukawa,ccm hamtakaa msahau huu mwaka,OMBI BINAFSI KWA MEMBER WOTE,KILA MWENYE NAMBA YA SIMU DR SLAA KWA UMOJA WETU NA USHIRIKIANO WETU AMTUMIE SMS DR AMPE PONGEZI KWA KWA KUYASHINDA MAJARIBU HAYO,ADMN TUNAOMBA USIUNGANISHE HUU UZI,TULIANZA NA MUNGU NA TUNAMALIZA MUNGU
Habari hii ni kweli..