kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Ndugu wanajamvi nimetafakari kwa undani katika kujaribu kuona hoja na maantiki ya vyma vya upinzani kuupinga muungano uliopo wa serikali mbili. Ukiuchunguza kwa umakini aina ya muungano wa vyama vitatu vya upinzani vinavyounda ukawa, unagundua kuwa kinachpingwa na vyama hivyo ndicho kilichofanywa kwenye muungano wa vyama hivyo.
Muungano wa ukawa umetengeneza chama kingine kisichosajiliwa (ukawa) ambacho kimekuwa na nguvu kikivisuppress vyama vya cuf na nccr-mageuzi huku chadema kwa ustadi wa hali ya juu kikiendelea kujitanua. Mathalani kwenye mikutano ya ukawa unakuta bendera zinazotawala ni za chadema, salamu ya ukawa ni kama ya chadema ambapo watu wanakunja ngumi na kisha kuitikia kibwagizo cha "ukawaaaaaaaa,.............pamoja daima". Aidha mavazi yanayotawala kwenye mikutano ni ya chadema. Ikiwa haitoshi, angalia safu ya mawaziri vivuri kwenye kambi rasmi ya upinzani, wizara nyeti zote zimechukuliwa na cdm huku vyama vingine vikiambulia unaibu waziri na pengine uwaziri wa viwizara vidogo. Kama hiyo haitoshi pia, angalia safu ya uongozi, mbowe na Slaa,ndiyo the highest leaders wa ukawa....................... Ni mengi inachosha kuyaandika!
Muungano wa ukawa umetengeneza chama kingine kisichosajiliwa (ukawa) ambacho kimekuwa na nguvu kikivisuppress vyama vya cuf na nccr-mageuzi huku chadema kwa ustadi wa hali ya juu kikiendelea kujitanua. Mathalani kwenye mikutano ya ukawa unakuta bendera zinazotawala ni za chadema, salamu ya ukawa ni kama ya chadema ambapo watu wanakunja ngumi na kisha kuitikia kibwagizo cha "ukawaaaaaaaa,.............pamoja daima". Aidha mavazi yanayotawala kwenye mikutano ni ya chadema. Ikiwa haitoshi, angalia safu ya mawaziri vivuri kwenye kambi rasmi ya upinzani, wizara nyeti zote zimechukuliwa na cdm huku vyama vingine vikiambulia unaibu waziri na pengine uwaziri wa viwizara vidogo. Kama hiyo haitoshi pia, angalia safu ya uongozi, mbowe na Slaa,ndiyo the highest leaders wa ukawa....................... Ni mengi inachosha kuyaandika!