HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
Ikiwa tumebakiza miaka michache kwa muungano wetu kutimiza miaka 50 kuna haja ya kujistasmini ili kuondoa dhana tata ktk muungano wetu.Moja ni kwamba ka nchi hii imeundwa na nchi mbili kwa nn ina serikari mbili na sio moja au tatu?,kwa mfumo tulionao je itakuwaje ikiwa raisi wa muungano hatokubarika kabisa Zanzibar lkn akashinda kwa uwingi wa watu wa bara?.
Nawasilisha.
Nawasilisha.