Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

HGYTXK

Senior Member
Oct 3, 2011
194
70
Ikiwa tumebakiza miaka michache kwa muungano wetu kutimiza miaka 50 kuna haja ya kujistasmini ili kuondoa dhana tata ktk muungano wetu.Moja ni kwamba ka nchi hii imeundwa na nchi mbili kwa nn ina serikari mbili na sio moja au tatu?,kwa mfumo tulionao je itakuwaje ikiwa raisi wa muungano hatokubarika kabisa Zanzibar lkn akashinda kwa uwingi wa watu wa bara?.
Nawasilisha.
 
Ikiwa tumebakiza miaka michache kwa muungano wetu kutimiza miaka 50 kuna haja ya kujistasmini ili kuondoa dhana tata ktk muungano wetu.Moja ni kwamba ka nchi hii imeundwa na nchi mbili kwa nn ina serikari mbili na sio moja au tatu?,kwa mfumo tulionao je itakuwaje ikiwa raisi wa muungano hatokubarika kabisa Zanzibar lkn akashinda kwa uwingi wa watu wa bara?.
Nawasilisha.

hapo ndipo penye tatizo! huuu muungano wa kipekee wa serikali ya ccm kuna haja ya kuubadilisha ili uendane na wakati au kuuondoa kabisa kama tukiona inafaa.
 
Back
Top Bottom