Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

swala la muungano linahitaji busara za hali ya juu!!

This is my point mkuu ingawa wengi wameshindwa kunielewa kutokana na stereotype attitudes walizonazo dhidi ya wazanzibari na dharau zao wanasahau usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo.
 
Mimi ningependa wa muungano, lakini muungano usio na unafiki, kelele na mayowe yasiyo na tija.
Kwasababu mnasisitiza busara basi ni vema tukaeleweshana ili sote tujue pro and cons. Hakuna sababu ya kufumbiana, mada ipo wazi.
Kelele za ZNZ zinakera sana, kila siku tunaonewa tunaonewa, wakoloni hao, majangili n.k. Sasa umebebwa mgongoni bado unarusha mateke na matusi, ah basi teremeka utembee mwenyewe.
Swali langu ni kuwa, Tanganyika inapoteza nini muungano ukivunjika? mimi nipo tayari kueleza Znz inapoteza nini. Sasa nawaomba kwanza niambieni Tanganyika ina lose nini.
Tusipotoshe mada eti Tanganyiaka ni Landlocked!!! who said that!

Nimeshakufahamisha kwanini na najitahidi kukuzindua but inaelekea hutaki kuelewa basi endelea tu ila cha msingi unaikumbuka Eritrea na Ethiopia walikuwa kama sisi na muungano kama wetu. Wakati Eritrea inataka kujitenga waliwabeza sasa Ethiopia inasafa kiuchumi. Vilevile Djibouti na Somalia mwaka 1977. Soma historia yako mkuu otherwise utabakia kuwa mtazamo hasi katika mjadala ambao unahitaji kuvumiliana na kuelewana.
 
Kuvunja muungano haitosaidia chochote. Matatizo ya Tanzania ni mengi na makubwaila muungano haupo katika matatizo hayo.
 
Nguruvi3,

Chamajani naona umeishiwa hoja kwani unaanza kutoa maneno yasiyokuwa na busara ila sishangai kwani huu mjadala zamani ulikuwa ukitawala na kebehi na dharau kwasababu pengine wazanzibari waliawaachia mlifanye hilo au waliwaogopa mie ni mtanganyika ila historia naifahamu vema nitawatetea wazanzibari kwani jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Nachokujibu ni hivi endelea tu na stereotype behavior yako.

Nguruvi yes perhaps this is your way of thinking but as an intellectual person when you want to study something you start with an impartial opinion and as you read through different literature you began to take sides depending upon what you want to achieve. I will like to ask you did you ever doubted the english historian who wrote your history books during your standard one to standard 12 subjects. Did you ever ask yourself why our forefather were regarded as nasty enemies and mzungu was considered as a savior to the land? Did you ask yourself why arabs were regarded as dark evils? Then you will come to realize that british historians brainwashed you mind in collaboration with some of our own native historians. Perhaps let me highlight some few key issues that are contradictory to Zanzibar revolution:-

a. Who are the key members who participate in the Zanzibar Revolution? (Answer, foreigners and few zanzibaris).

b. They say they want to get rid off the arabs but most Zanzibaris were massacred in areas of Makunduchi and other sub-urbs (Why? Was it a revolution or envy?) (S. Daly PhD Thesis Columbia University and Oxford University Library). Ukiitaka link hii hapo chini?

Department of History - Columbia University |


c. Report says after the revolution they were massive looting incidences, rapes, murders of innocent people (Ghassany thesis).

d. Why did Karume fear the Umma Party and ZNP? (Ghassany Thesis).

e. Why people especially young people from Arab background, Comoro background and Pemba were prevented from working just because of their race? (Proffesor G. Thomas Burgess articles).

In summary did you ever ask yourself am I being brainwashed????
 
abdulahsaf,
Ndoto zinaruhusiwa, ili mradi usikorome maana utawabughudhi wenzio. Hiyo ni ndoto ya alinacha. Wewe kama unaona vipi rejea kwenu Arabuni. Kwa heri.
 
Mawazo yao yote yapo kwenye misaada toka kwa waarabu. Fanyeni kazi nyie!!! msiwaze waze misaada. Bure aghali
 
Mkuu kamuulize Uganda, Zambia, Rwanda and Burundi wanapata hasara kiasi gani kuwa a landlocked country??? Utajua kwanini nasema tutajuta.

Wewe mlingano unaosema ni upuuzi ulio uchi na ndoto za mchana ambazo muotaji anaota kafa anapelekwa kwa takbra kufukiwa.
Nimeamini mwendawazimu si lazima abebe kiroba cha mavi bali utamtambua hata kwa sema yake.
Serkali moja au muungano ufe
habari ndio hiyo.
Acha kujenga hoja za kishetani na kufikirika watg sio mabozi.
 
Nguruvi3,
Mr Nguruvi you have defined a lot on this presentation. The message is clear who will be the loser!!!!!!!!! You need to be analytical on the conclusion, most of the Kariakoo merchants are from Pemba. I am wandering because a great thinker, especially from this JF cant support kuvunja muungano campaign. Most of car show room are owned by Wapemba. Big shops,Go dawns, Factories,Farms etc all in TZ mainland are owned by Wapembas. Don't you feel pity for those who will be out of jobs and business?

The muungano phenomena is natural, it need to be clarified for every body to understand. I encourage that please lets keep our muungano, the UAE are united kingdoms on certain basis and agreements, EAC we are struggling for the integration of these five states with different cultures. EU are cementing there union, then why should we think even of destroying our gains with this union of Tanzania? Umoja ni nguvu (kiuchumi, kimaendeleo,kielimu kwa kila kitu) utengano ni udhaifu.Intermarriage ngapi tunazo Tanzania? Think man Think!

I don't think the measure of a national civilization is how tall its buildings of concrete are, But rather how well its people have learned to relate to their environment and fellow man.
Sun Bear of Chippewa Tribe.
 
Nguruvi3, p
Mkuu,

Faida moja kubwa ya Muungano kwa Tanganyika ni kutumia mamlaka ya Serikali ya muungano kwa kila kitu cha Tanganyika hii sisi wenyewe hatulitaji jambo hili wala hatuoni kuwa ni faida,wakati Zanzibar inawapasa kupitia Serikali ya Muungano.

Faida ya Pili kubwa ni kuwa Muungano umesaidia sana Tanganyika isimeguke vipande vipande, imesaidia kuuvunja nguvu ukabila na udini.

Kuna member alileta mada inayoonyesha kuwa wabunge wazanzibari wameziba pengo la kuonekana kuwa wabunge waislamu wanaotoka Tanganyika ni kidogo. Ingawaje mada hiyo ilipata ratings ndogo na majibu ya kiaina lakini kuna ukweli ndani yake..lakini hapa nakusudia kuonesha kuwa muungano na uwepo wa wabunge kutoka Zanzibar kumefunika kombe hilo. Muungano ukitoweka hili jinamizi kama linaloonekana hapa JF litahamia mitaani huku Tanganyika.

Ukweli utabaki kuwa viongozi wetu kutoka Tanganyika hawajaitumia vizuri hii fursa ya Muungano kufanya wananchi wa sehemu zote mbili kuona manufaa na tija ya Muungano kiuchumi na hivyo kufanya longo longo yote ya muungano wetu ni mfano duniani kuwa ni kichekesho. Hasa unapotumia mfano wa Europeans (European Union). Muungano wetu tumeuweka kwenye mode ya Tanganyika kuipunguzia uwezo Zanzibar na mwishowe kuimeza.
Muungano ungesaidia sana katika kuinua hali za wananchi wa sehemu zote kama rasilimali zingetumika kuelekeza maendeleo kwa wananchi.

Zanzibar walipata utulivu kupitia muungano baada ya mapinduzi na Tanganyika tulipata mshikamano kama taifa. badala ya kuvitumia vitu hivi tulianza siasa za kuimeza zanzibar na ufisadi. vile vita vya Kagera ndio ilikuwa nail in the coffin kwa Tanganyika na Zanzibar pia.
 
Mtumishi Wetu,
Perhaps you can help us to explain on how we can rebuild our unity Mtumishi. Mie naunga mkono Serikali Tatu ili kuondoa hizi kelele za wazanzibari na kusaidia kuweka Transparency within our country.
 
Mawazo yao yote yapo kwenye misaada toka kwa waarabu. Fanyeni kazi nyie!!! msiwaze waze misaada. Bure aghali
Sisi misaada yetu anatupa nani? Je ni jambo zuri sisi kupewa au kuomba misaada lakini ni jambo baya wao kufanya?
 
Mdondoaji,

..Sultani handed over utawala[transfered sovereignity] wa coastal strip kwa Wajerumani kutokana na hivyo vipande vya fedha alivyopewa.

..Sultani angekuwa na haki ya eneo hilo kama angekubali status ya Protectorate. badala yake Sultani aliteremsha bendera yake, ikapandishwa bendera ya Mjerumani, na shughuli zote za kukusanya kodi na ushuru, ulinzi,pamoja na utawala, wakakakabidhiwa Wajerumani.

..zaidi, hata Sultani aliyemfuatia Khalifa alikwenda mbali zaidi na kuuza mali zake zilizokuwa ktk ukanda wa pwani.

..juu ya hayo, Mjerumani aliweka makao makuu ya serikali yake Bagamoyo. je, inayumkinika makao makuu ya serikali yakawa ktk ardhi ya kigeni[territory ya Sultani]?

..kwa maoni yangu there is every indication kwamba Sultani aliuza eneo la ukanda wa Pwani ya Afrika Mashariki kwa Wajerumani.
 
Hata sisi wabara hatuutaki huu muungano. Wanaofaidika na muungano ni wazanzibari kuliko sisi wabara. Mie mtu wa Mwamangalala huku Shinyanga siruhusiwi kumiliki ardhi huko visiwani lakini wapemba kibao wananunua ardhi huku kwetu Shinyanga. Sasa mfunge virago vyenu muwachukue na hao wabunge wenu wanaowakilisha watu 3000 mrudi visiwani kwenu. Na baada ya kuondoka msirudi tena bara, tena mkitaka kuingia bara itawabidi mje na passport na visa. Hatutaki mchezo.
 
Mdondoaji,
..juu ya hayo, Mjerumani aliweka makao makuu ya serikali yake Bagamoyo. je, inayumkinika makao makuu ya serikali yakawa ktk ardhi ya kigeni[territory ya Sultani]?

Hii imetulia kwakweli, yaahi hawa jamaa ni mambo ya alinacha na kulalamika tuu.
 
Waende na kizanzibari chao. Watu gani hadi mshahara wa rais wao tunalipa kwa kodi zetu!
 
Thanks all,
Nanren: Ni kweli kama kuna Mznz anafikiria 10 KM from Lamu to Kilwa, sijui mtu huyo awekwe kundi gani. Kuvunjika kwa muungano kamwehakutarudisha 10 km Lamu -Mtwara stretch. Mdondoaji hii sijui inafundishwa shule gani huko visiwani. In 2011 !! Subhanallah!

Mdondoaji: Siku zote unaposoma maandiko nilazima ufikirishe akili yako ili kuunganisha dots. Hivi ndivyo ninavyofanya mimi. Nikiambiwa mkoloni mbaya, huwa najiuliza pia lakini si alichapa watu wakajenga reli, mbona leo bila viboko watu hawawezi hata kusafish mfereji!Tatizo kama nilivyosema ni kuwa Wznz wapo biased, ukienda na gazeti la Arabia Times litagombewa kama mpira wa kona, ukienda na New york time wanasema hilo ni la kikristo. Kwahiyo knowledge yao inakuwa very limited. Mimi ninasoma sana hadithi na vitabu vya Hitler, Musolin, akina Idd Amin, Pinochet, n.k ili ku balance information. Ukweli ni kuwa tofauti na mnavyodhani, Hitler alikuwa kiongozi ambaye Tanzania tunamhitaji, soma uone alivyoiacha ujerumani, usisikilize one side. Makala zenu zote zimeandikwa na Waarabu, please give us more.

Gongo la mboto: Suala la misaada aliyewaharibu Wznz ni mtu anaitwa Maalim S, huyu baada ya CUF kushindwa alikuwa anapita ulaya na marekani, Canada akikutana na Wznz. Moja ya agenda zake ilikuwa ni kushawaishi wavunje muungano. Alisema waarabu wataisadia Znz kwani kuna undugu wa damu. Alisema mafuta yatapatikana kwa misaada, na nchi itakuwa kama Dubai na Muscat. Watu wote wa EA watakuja Znz kama zama zile za biashara ya sahani, shanga, birika, tende n.k. Huyu ndiye aliwajaza Wznz ujinga wa kutaka kujitenga na muungano, lakini sasa amepata mgao kimyaa! Muungano hauna faida kwa Seif/Shein n.k unamsaidia yule Mznz masikini anyetengeneza maisha yake huku bara. Aliyeajiriwa wizara ya Afya/Fedha n.k anayeleta pweza feri na kurudi na pesa. Seif anawarubuni tu kwa madaraka.

Mtumishi wetu: Kuna sehemu hakuna Wznz na ajira zipo tu, wakiondoka sehemu ulizozitaja zitachukuliwa na Watanganyika. Kongo na burundi hakuna wapemba, ajira na biashara zipo tu. In fact wapemba wapo huku kwasababu wanataka soko. Nakukhakikishia leo muungano ukifa, wapemba wote hakuna atakayechukua Uznz. watakuwa Watanganyika, wao wanajua muungano ni nini.

Nonda: Hii ya nchi kumeguka ni sababu umeikota hapa jambo Forum. Haikidhi swali la msingi. Kiuchumi Tanganyika ina lose nini. Kenya na uganda hakuna Wznz ndani ya mabunge yao na wanasonga mbele tu. Hatuhitaji watu wa kujaza ukumbi, tunahitaji watu wa kulisaidia taifa.

How to Built our Union; Serikali 3 sikubaliani nayo maana Tanganyika itabeba mzigo. Serikali ya 3 (shirikisho) inaweza kuwa na bajeti ya billion 800 kwa mfano wa leo. Bajeti ya Znz ni Billion 500, sasa watachangia kiasi gani kuendesha.
Mimi nadhani WZNZ wapewe nafasi ya kuamua kama wanataka muungano au la! kama wakisema wanataka basi tukubaliane ni mambo gani ya kushirikiana na yawe black and white. Halafu welimishwe, wakatazwe fitna, na kejeli.

Miaka ya 80 na 90 walikuwa wanataka Tanganyika waende ZNZ kwa Passport, Tanganyika wakasema, well, Wznz waje na Passport, Mbona baraza la wawakilishi lilikaa dharura na kusema chonde chonde Tanganyika, njooni bila passport. walinywea usiku mmoja. Hii ni kuonyesha nani anaathirika! Narudia Tanganyika may need Znz but not as much as ZNZ needs Tanganyika,
 
Nguruvi3,
Mkuu,
Kuhusu misaada. Tanzania inapata misaada yake kutoka wapi? Ni asilimia ngapi vile ya bajeti yetu inategemea fedha za wafadhili? Najua imepungua kutoka asilimia ngapi hadi asilimia ngapi? je sisi ni nani aliyetuharibu juu ya kuomba misaada au kutegemea misaada?.....Mkuu wetu anasema bila ya yeye kwenda nje kutembeza bakuli tutakufa njaa. Sisi kuomba ruksa,wao hapana?

Mkuu, hoja ya kumeguka Tanganyika kwa leo unasema ni hoja nimeiokota...wacha nikubaliane na wewe kwa mantiki ya hoja nimeiokota mkuu. sasa wewe unaona hakuna uwezekano wa udini na ukabila kuidhoofisha Tanganyika?

Mkuu, hutaki Muungano urekebishwe ili uwe na tija kwa members wake? yaani Tanganyika na Zanzibar. Jee wewe ni mmoja wa wanaotaka serikali moja? Serikali mbili kwa ajili ya kubana matumizi ndio imetufikisha hapa tulipo leo.Kelele kila kipembe. Suluhisho unalolipendekeza ni lipi?

Mkuu, katika huu mchango wako unaoonekana hasira zinakunyemelea kwani lugha uliyoitumia ni kama ile ya Gaddafi jana.

Hata hivyo mkuu, ziko nchi ndogo ndogo zaidi ya zanzibar duniani na zinajiendesha wala hazihitaji "msaada au kugaiwa hela za mishahara" kutoka nchi nyengine. Mimi kwa mtazamo wangu naona Zanzibar ikiwa nchi huru itakuwa na fursa sawa tu kama nchi nyengine kujiletea maendeleo. Kwa maana nyengine wakiwa na full soveregnity yao na benki kuu yao basi wana nafasi nzuri zaidi ya kujiamulia mambo yao vile watakavyo.
 
JokaKuu,

Joka Kuu,

Unaweza kuhanded over nchi kwa ubabe vile vile hivyo sio ajabu Sultani wa zanzibar alipoona mataifa mawili yenye nguvu duniani wanaitaka ardhi akaiachia. Kama hujaniletea sale agreement mkuu I am sorry technically na legally ardhi ya kilometa 10 ukanda wa pwani kuanzia Lamu mpaka Ruvuma hadi Msumbiji ni mali halali ya wazanzibari mkuu subiri wakija kudai wenyewe ndio utajua.

Kuweka makao makuu Bagamoyo (yaani umenichekesha sana) sijui ulikuwa unamaanisha nini hufahamu kuwa nchi babe zinaweza kuweka makao makuu kokote ambapo imepachukua (mfano Israel imefanya mji mkuu wake ni Jerusalem wakati wanafahamu wapalestina nao mji mkuu wao Jerusalem). Sasa utaona sijui niseme hoja yako ni weak au tuseme haina mshiko. Anyway kuwa na mji mkuu bagamoyo hakumaanishi wewe lile eneo ni lako kwani unaweza kulikalia kwa mabavu pia.

In short mkuu sijaona bado hoja ya msingi.
 
Nguruvi3,

Nguruvi,

Kwanza poa hasira mkuu huu ni mjadala na kila mmoja yupo katika keyboard hatujuani wala kufahamiana. Pili 10 Km stretch itarudishwa mkuu ukitaka usitake kwani kisheria wana haki wazanzibari kiubabe Tanganyika wana haki. Sasa kaa ufikirie ni akina watashinda na ndio maana jiulize kwanini Viongozi wa serikali wako tayari kuulinda muungano kwa nguvu zote mkuu kwani ukiparaganyika kuna kazi nzito mzee. Binafsi nawaunga mkono ila kuwapo na serikali tatu na sio mbili ambapo mmoja inaonekana kama kibaraka wa mwengine hilo siliungi mkono kamwe.

Kuhusu my literature understanding mkuu kwa taarifa yako waarabu wako wachache kuliko hao wazungu unaowaabudu. Akina Musollini, Hitler, Iddi Amin inaonyesha wewe ni muumini mzuri wa siasa za kibabe, ningelikushauri uwasome wazee wa demokrasia kama kina Abraham Lincoln, Winston Churchill, Aristotle, Plato, Nicolo Machiaveli ili ujenge mtandao mpana wa kuchambua mambo mkuuvenginevyo utaharibu jamii kwa siasa za ubabe. Vile vile uwasome wanafalsafa kama akina Lao Tzu, Plato, Aristotle, Muhammad, St. Thomas uyaelewe mambo kwa undani kwa kutumia saikolojia za viongozi wetu.

Narudia mwisho Zanzibar, na Tanganyika wanahitajiana na sio mmoja kumuhitaji mwenzie na wakitengana wote wataumia.
 
Mkuu Mdondoaji huyo Sultani ali kujaje kumiliki eneno la ukanda wa Pwani? Je aliipata kihalali au nae ali tumia ubabe? Kumbuka kuna kipindi kwenye historia ya dunia nchi zote ziliundwa kutokana na conquests na vita. Tukifuata mawazo yako ina maana ramani ya dunia nzima yote lazima ichorwe upya. Wazanzibar wadai hilo eneo tuone wata fika wapi, hawaja katazwa. Si hata muungano wamepeleka madai ya kuupinga UN mpaka leo hamna kitu.
 
Back
Top Bottom