Iramusm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 509
- 314
Mimi huwa naushangaa sana Muungano..ukiwasikiliza Wazanzibar utapata picha wanaona kwamba wananyonywa na Wabara na ukiwasikiliza Wabara utapata picha wanaona kama wanabeba mzigo wa Wazanzibari. Kiufupi hamna anayeona faida ya kuwa na mwenzake, kinyume chake kila mtu anaona kama " anavutwa shati " na mwenzake. Najiuliza huu Muungano upo kwa faida ya nani?