Wakuu.
Lazima tuulinde muungano wetu uilioizaa Tanzania haiwezekani kuvunja nchi maana naona watu wameanza chokochoko huku mitandaoni lakini kamwe lazima mkubali tulishaungana hakuna kutengana.
Atakaejaribu kuuvunja aminywe mapema sana wasilete siasa kwenye mambo ya Muungano.
Huu muungano ni wa milele.
Lazima tuulinde muungano wetu uilioizaa Tanzania haiwezekani kuvunja nchi maana naona watu wameanza chokochoko huku mitandaoni lakini kamwe lazima mkubali tulishaungana hakuna kutengana.
Atakaejaribu kuuvunja aminywe mapema sana wasilete siasa kwenye mambo ya Muungano.
Huu muungano ni wa milele.