Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
1.KUYAENZI MAPINDUZI
2.KUDUMISHA MUUNGANO WETU
CCM hoyeeeee.
2.KUDUMISHA MUUNGANO WETU
CCM hoyeeeee.
....hauna FAIDA KWAKO.Mimi ni Mtanganyika ila nathubutu kusema huu Muungano hauna faida kwetu.
Kwetu.....hauna FAIDA KWAKO.
Kwani watu hawawezi kuishi ugenini?? Mbona Kuna wahindi tele Tz wakati hakuna muungano kati ya Tz na India?? And so are the Chinese, etc.Nawaza tu wapemba wanavyo zaana kwa kasi sijui muungano ukivunjwa na wao kua kama taifa itabid waliopo Bara warud kwao mbona kama itakua hatar
Mimi ni Mtanganyika ila nathubutu kusema huu Muungano hauna faida kwetu.
Cheki akili yako sasa.Hauna faida kwako ina maana hata faida ya kuchakata watoto wa zenji haujaiona? Sijui muelimishwe vipi?
Unafikir wanakaa BureKwani watu hawawezi kuishi ugenini?? Mbona Kuna wahindi tele Tz wakati hakuna muungano kati ya Tz na India?? And so are the Chinese, etc.
Afu, em nitajie faida moja tu ya hilo limuungano kwa Tanganyika. Ukweli Ni kuwa hakuna.
Acheni mawazo mgando
Cheki akili yako sasa.
Are you from Zanzibar?Nimekujibu kulingana na akili yako
Kwani sasa hv biashara wanafanya bila vibali?Unafikir wanakaa Bure
Pia unatakiwa ujue hata biashara hawato ruhusiwa kufanya bila vibal
Mbona watoto wa Kenya, Uganda, rwanda, nk wanachakatwa Kama kawa bila muungano wowote?Hauna faida kwako ina maana hata faida ya kuchakata watoto wa zenji haujaiona? Sijui muelimishwe vipi?
Hivi unaelewa maana ya ukoloni??Watanganyika mna dhambi sn yani rais wa Zanzibar lazima nyie ndo muwaamulie????!!!!!
KWA NN MSIWAACHIE MAMBO YAO KM NCHI?
Mbado mkuu.....nipe pichaHivi unaelewa maana ya ukoloni??
Utakua hujui ninacho kiongeleaKwani sasa hv biashara wanafanya bila vibali?
Em kafungue biashara bila vibali uone Kama hutakabiliwa fasta na jiji, Tra, na mamlaka kadhaa husika
Kimtizamo ni sawa ila ki uhalisia hapana mkuu..Tusidanganyane huu ni Muungano wa kisiasa tuu mengine yote yanajitegemea
Jr
Una point nzuri, lakini kulirudia rudia hili neno 'milele', inakuwa kama unakajeli.Tucheze na mengine sio muungano wetu huu ni wa milele