Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,215
- 7,382
Eid Mubarak
hakutakua na katiba ya jamhuri kila nchi itaunda katiba yake ivo iyo kwa mujibu wa katiba haitakuepoNauliza wajuzi mnifahamishe!
Ikiwa Muungano Umekufa ghafla zenj Rais wake ataendelea kuwa Rais kwa Mujibu wa Katiba!
Jee Tanganyika Rais Atakuwa nani??
Utakuwa weweNauliza wajuzi mnifahamishe!
Ikiwa Muungano Umekufa ghafla zenj Rais wake ataendelea kuwa Rais kwa Mujibu wa Katiba!
Jee Tanganyika Rais Atakuwa nani??
Kwa katiba gani??Utakuwa wewe
Ya kanisa katolikiKwa katiba gani??
Hii imekaa sawa tena vyema kabisa..shida kubwa na mkwamo wa nchi hii upo ccm.Ningekuwa mimi ningependekeza kuwa na serikali moja Zanzibar isiwe na Rais wake. Angekuwepo Rais wa JMT na wakamu wawili wa Rais Tanganyika na Zanzibar.
La sivyo kuwe na Rais wa JMT ambaye ndiye kiongozi mkuu wa Muungano na Maraisi wa Tanganyika na Zanzibar ambao watamsaidia Rais wa JMT katika nchi zao.
Kwani zanzbar anachangia 50 kwa 50 kwenye uzalishaji wa mapato ya nchi? Maana hata shinyanga tu au katavi ina mapato makubwa kuliko zanzbar
Still bado siyo 50 kwa 50 kwenye mchango wa taifaNani alikudanganya?
Wazanzibari walioko Uarabuni,Ulaya Na Marekani ni zaidi ya Laki 4 ikiwa kwa wastani wa dola 100 Tu kwa mwezi wanazoleta Zanzibar hizo ni dola 40 milioni kila mwezi Na ukija kwenye utalii kwa siku ni karibu dola Laki moja minimum. Pesa yote inakwenda Benki Kuu Tanganyika , Zanzibar haipati kitu labda hivi Sasa kwa kuwepo Samia tunapata hiyo 4 percent. Huu Si muungano ni uvamizi Na ukoloni wa Tanganyika
Ikiwa Zanzibar inapewa 4 percent , Kuna 50 kwa 50 hapo ?Still bado siyo 50 kwa 50 kwenye mchango wa taifa
How ridiculous!Nyerere aliona nini Zanzibar??..
Kuna namna tunapata namna ya kujilinda vizuri kiulinzi tukiikalia Zanzibar?.
Nyerere akitumikia kanisa kupiga vita uislamu ZanzibarHow ridiculous!
Nyerere hakuwa supernatural being, bali human being anaeweza kuchemka!
Hata hio 4 ni nyingi Sana bwashee kulinganisha na wingi wa watu baraIkiwa Zanzibar inapewa 4 percent , Kuna 50 kwa 50 hapo ?
Bado mapato ya Benki kuu ambako pesa Za Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki zilporwa Na Nyerere Na kuanzisha Benki kuu kwa ahadi ya kupewa 4 percentu kila mwaka Na kila mwaka hupewa 0 percent
Hata hio 4 ni nyingi Sana bwashee kulinganisha na wingi wa watu bara
Ni kweli ni koloni Na ngawira ya Uvamizi wa TanganyikaEndelea kuota. Zanzibar siyo taifa kamili.
Hujui dhara wala maskhaYa kanisa katoliki