Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha...
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.

Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza

Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia muungano mwema.

P
 
Ujumbe wangu ni huo , Bwana Feleshi umetusaliti watanganyika wenzako. Au mnasemaje Watanganyika mliomo humu JF
 
kwenye hili sakata sijaona msimamo wako Mtani, au kama kawaida unaangalia upepo?
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar: Mambo ya Bandari Tanzania Bara na Zanzibar hawaingiliani kila upande unajitegemea

Fatma Karume: Prof Mbarawa hawezi kusaini Mkataba wowote bila Idhini ya Mwanasheria mkuu Jaji Feleshi ambaye ni Mtanganyika na Msukuma

Hao wawili ndio wamenichanganya bwashee 😄😄!
 
Napongeza matumizi ya neno "Watanganyika" msamiati unaokua kwa kasi kwa sasa kuliko kutumia neno "Watanzania".

Wenzetu visiwani ni ngumu sana kuacha neno ZANZIBAR au Mzanzibar ni ngumu kwa wao kujiita Mtanzania ila sisi tumeng'ang'ana na huo msamiati wa utanzania usio na faida huku tukisahau kuwa Tanganyika iliuawa mnamo tarehe 26/04/1964

Lazima Tanganyika yetu irudi kwa gharama zozote zile, sisi sio watanzania bara noo sisi ni watanganyika, sisi ni wazanzibar, hivyo ndivyo inavyopaswa kutumika
 
Napongeza matumizi ya neno "Watanganyika" msamiati unaokua kwa kasi kwa sasa kuliko kutumia neno "Watanzania".

Wenzetu visiwani ni ngumu sana kuacha neno ZANZIBAR au Mzanzibar ni ngumu kwa wao kujiita Mtanzania ila sisi tumeng'ang'ana na huo msamiati wa utanzania usio na faida huku tukisahau kuwa Tanganyika iliuawa mnamo tarehe 26/04/1964

Lazima Tanganyika yetu irudi kwa gharama zozote zile, sisi sio watanzania bara noo sisi ni watanganyika, sisi ni wazanzibar, hivyo ndivyo inavyopaswa kutumika
Huu ugonjwa umekuanza lini? Imeisha hiyo. ^Sssoooea hiyo sauti^ ~ in Francis Atwoli's voice.
 
Natoa tu angalizo

Maana naona Mjadala wa Tanganyika unashika kasi kana kwamba ni Jambo jema kumbe ndio kuharibu zaidi

Muungano ukivunjika na Bandari huna ndio itakuwa nini!!!

Kuweni wenye kutafakari!

cc: Daudi Mchambuzi- Machame
 
Natoa tu angalizo

Maana naona Mjadala wa Tanganyika unashika kasi kana kwamba ni Jambo jema kumbe ndio kuharibu zaidi

Muungano ukivunjika na Bandari huna ndio itakuwa nini!!!

Kuweni wenye kutafakari!

cc: Daudi Mchambuzi- Machame
Ni kweli kabisa. Tukianza kubaguana hatutakaa tuache mpaka nchi isambaratike kabisa.

Lakini kuna maamuzi viongozi wanafanya inapelekea watu kutoa maneno makali sana.

Hili la bandari linashangaza sana, kwenye mambo mengine ya maendeleo tunakumbushana kushirikiana na wenzetu wa visiwani. Ila la Dp World (ambalo tumeambiwa lina manufaa makubwa) hatuwashirikishi. Watu wanafikia conclusion gani? Utawalaumu?

Hawa viongozi wajitafakari sana, nchi ikisambaratika sijui watajiongoza wenyewe?
 
Natoa tu angalizo

Maana naona Mjadala wa Tanganyika unashika kasi kana kwamba ni Jambo jema kumbe ndio kuharibu zaidi

Muungano ukivunjika na Bandari huna ndio itakuwa nini!!!

Kuweni wenye kutafakari!

cc: Daudi Mchambuzi- Machame
ndiyo siku hao wanaochongachonga hapo Dar watatimuliwa maana Dar Es Salaam siyo kwao itabidi warudi kwao. Baba wa Taifa alisema ukiianza hiyo dhambi ya ubaguzi utambagua kila aliye karibu na wewe mwisho wa siku hautajua hata kwenu ni wapi
 
Back
Top Bottom