Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Kwakweli umenigusa sana na wazo lako kwamba muungano uvunjwe na Zanzibar iwe nchi kama Kenya au Uganda halafu tuangalie namna tunaweza kushirikiana kama tunavyoshirikiana na nchi zinazotuzunguka hii ni dawa tosha kabisa ya hili donda ndugu
Nenda ukavunje kwanza ndoa yako!!kama huna nenda kavunje ya wazaZi wako kwanza afu ndo uje kuvunja muungano!!