shegaboy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 213
- 34
Jana nilishangaa sana kwa wabunge wa CUF na CCM wakimshambulia Tundu Lisu kwa matusi na kejeli nyingi.
Naomba watanzania wote tuungane tu jadili kwa kina swala hili na sio kukurupuka tu na kujifanya sisi ndio wajuaji sana katika huu muungano.
1. Tujiulize mengi je katika huu muungano kuna faida gani na una maana gani katika tanzania.
2. Katiba ya jamuuri ya muungano inasemaje kuhusu muungano
3. Huu muungano ulikubalika kwa pande zote mbili au yalikuwa maamuzi ya mtu mmoja tu.
Naomba niseme kuwa :
namba mbili ni kwamba KATIBA ya jamuuri ya muungano ina tambua kuna kuna serikali ya mapinduzi znz tu na pia hiyo serikali ya mapinduzi pia ina rais na waziri kiongozi. inanishangaza leo wenzetu wanzanzibar wamekaa wao wenyewe na kubadilisha taratibu leo kuna rais na makamu wawili wa rais KATIBA ya jamuuri ya muungano bado ina sema zanzibar kuna rais na waziri kiongozi. alafu watu wanakuja wanasema kuna muungano umesha vunjwa jamani labda mimi sijui kusoma ata kuona tu kwamba hii ni mbili unataka kuniaminisha niseme tatu no Tundu lisu watanzania wenye uelewa wako nyuma yako usijali ni madogo walitumwa hao. kwani nani ajui kuwa wametumwa huoni kapewa nafasi ya kumtusi hii ingefanywa na MH. Lema au Mchungaji au Wenje UNGEONA NDUG. LUKUVI ANAOMBA MWONGOZO
Naomba watanzania wote tuungane tu jadili kwa kina swala hili na sio kukurupuka tu na kujifanya sisi ndio wajuaji sana katika huu muungano.
1. Tujiulize mengi je katika huu muungano kuna faida gani na una maana gani katika tanzania.
2. Katiba ya jamuuri ya muungano inasemaje kuhusu muungano
3. Huu muungano ulikubalika kwa pande zote mbili au yalikuwa maamuzi ya mtu mmoja tu.
Naomba niseme kuwa :
namba mbili ni kwamba KATIBA ya jamuuri ya muungano ina tambua kuna kuna serikali ya mapinduzi znz tu na pia hiyo serikali ya mapinduzi pia ina rais na waziri kiongozi. inanishangaza leo wenzetu wanzanzibar wamekaa wao wenyewe na kubadilisha taratibu leo kuna rais na makamu wawili wa rais KATIBA ya jamuuri ya muungano bado ina sema zanzibar kuna rais na waziri kiongozi. alafu watu wanakuja wanasema kuna muungano umesha vunjwa jamani labda mimi sijui kusoma ata kuona tu kwamba hii ni mbili unataka kuniaminisha niseme tatu no Tundu lisu watanzania wenye uelewa wako nyuma yako usijali ni madogo walitumwa hao. kwani nani ajui kuwa wametumwa huoni kapewa nafasi ya kumtusi hii ingefanywa na MH. Lema au Mchungaji au Wenje UNGEONA NDUG. LUKUVI ANAOMBA MWONGOZO