jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Tatizo ni kwamba tunatumia mwongozo wa katiba hii ambayo hatuitaki ili kuweza kupata katiba mpya.Katiba iliyopo haina maslahi kwa wananchi na kuitegemea kuwa itatuwezesha kufanya mchakato huru ni kosa.Na ndio maana kuna malalamiko kuwa Rais ndiyo mwenye uamuzi wa mwanzo na mwisho.
Chombo kitakachosiamamia mchakato kiwe huru kabisa,na mchakato wa maoni uwashirikishe wadau wote wa jamii kama alivyoainisha mwana JF mmoja hapo juu,na ndio maana wengine hatukuwalaumu wale viongozi wa dini walipotoa maoni yao.
Chombo kitakachosiamamia mchakato kiwe huru kabisa,na mchakato wa maoni uwashirikishe wadau wote wa jamii kama alivyoainisha mwana JF mmoja hapo juu,na ndio maana wengine hatukuwalaumu wale viongozi wa dini walipotoa maoni yao.