Muundo wa Serikali Tatu ni Illegal, Unjustifiable, na Ni Kuvunja Muungano!-Kingunge Ngombale Mwiru.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Wakati mjadala wa muundo wa muungano ukiendelea, na haswa ukinzani kati ya mapendekezo ya Tume ya Warioba ya kupendekeza muundo wa serikali tatu, huku msimamo wa Chama cha Mapinduzi CCM ni serikali mbili, Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ameibuka na kudai kuwa pendekezo la Tume ya Warioba kupendekeza muundo wa muungano wa serikali tatu, ni illegal, unjustified na ni kuuvunja muungano!.

Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru, ameibuka na msimamo huo mkali, wakati akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha TBC, kilichokuwa kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri, Shabani Kissu, ambapo alikuwa ameandamana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu, Ameir Kificho.

Kingunge, amesema, msingi mkuu wa muungano ni mkataba wa muungano, "Articles of the Union" zenye dhima ya muungano wa serikali mbili. Kitendo za kuubali muungano wa serikali mbili kwenda serikali tatu, ni kuyavunja yale makubaliano ya muungano kinyume cha sheria, hivyo ni kuuvunja huo muungano wenyewe, hivi pendekezo hilo ni illegal!.

Kingunge amesema kuwa ule mkataba wa muungano, ndio msingi mkuu wa muungano uliopo na unaendeshwa kwa kufuata misingi ile ile ya mikataba, ili kubadili kitu cha msingi kwenye mkataba, lazima kwanza "parties to contract" or their legal representatives wakae pamoja na kukubaliana kubadilisha makubaliano hayo!. Hivyo hilo pendekezo la kubadili muundo toka serikali mbili kwenda serikali tatu, bila kuwakutanisha "parties to contract" na wakakubali, ni pendekezo illegal!, utaratibu halali wa kuelekea kwenyependekezo la serikali tatu, ulibidi uanzie kwanza kwenye kuvunja kwanza yale makubaliano ya serikali mbili, kisha wadau wa makubaliano hayo wakae tena chini wapendekeze muundo wa serikali tatu na kukubaliana, ndipo pendekezo hilo lingeletwa bungeni na kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya aina ya muungano, ndipo lije sasa ndani ya katiba mpya!.

Jaji Warioba amelitoa wapi pendekezo hili la kuyavunja makubaliano ya muungano, bila kwanza kuwaita wale wadau wa muungano?.

My Take:
Hoja za Kingunge ni very valid na logical, kama hoja hii ni kweli, then, muungano ulivunjwa rasmi siku ile tulipobadili katiba na kumuondoa rais wa Zanzibar, asiwe makamo wa kwanza wa Rais wa Tanzania bila consent ya parties to contact!.

Ila kama msingi mkuu wa CCM kushikilia msimamo wa serikali mbili, ndio huu, then CCM wako very right kutetea serikali mbili, kuweka msimamo wa pamoja wa serikali mbili, ila ningeshauri kwanza hiyo rasmu ambayo imeelezwa kuwa ni illegal, kwanza iwe declared kuwa rasmimu hiyo ni illegal, iwekwe pembeni, wajumbe wetu wa bunge la katiba watengeneza rasimu nyingine legal, watupatie tuu hiyo "Bora Katiba" kelele hizi ziishe tuendelee na mengine!.

Kidemokrasia mambo yote ni serikali tatu!
Kisheria serikali mbili ndio mpango mzima!,
Ila kudumisha muungano, serikali moja ndio mambo yote na ndio kila kitu!.

Jee wewe unasimama wapi?!.

Pasco.
 
Kwa kutaka serikali moja Wazanzibari tutaweka upande hitilafu zetu zote ili kuhakikisha hilo halitatokezea abadani.
 
nani aliekwambia articles of the Union Bado zina nguvu ya kisheria wakati katiba ilishatungwa? pili si Kweli kwamba articles of the Union can not be changed while the circumstances have changed? achana na huyo mwanasiasa hajui kanuni za kisheria.
 
Huyu babu apumzishwe zama zake zimeisha siku nyingi sasa tena kwa kufeli vibaya sana. aachie vijana wafnye kazi maana yeye alipewa muda wake akashindwa. haya matatizo tulionayo sasa ni kwa sababu ya mifumo mibovu ya uongozi na chama chao cha wizi wizi cha CCM walichokiasisi.
 
Kama Kinguge ana hati miliki ya nchi hizi na ajaribu hilo., watu wengi wenye asili ya Tanganyika wanapenda kujitoa fahamu kama Zanzibar ilikuwa huru na watu wake na mamlaka yake.,
 
Ngoja tumuone leo JK, hii ndio karata pekee aliyobakiza kujenga 'legacy' yake. Ni kama vile timu imepata penalty dakika ya 90 kwenye soccer match. Je atafunga au atatoa nje? Yetu macho na masikio.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanabodi,

Wakati mjadala wa muundo wa muungano ukiendelea, na haswa ukinzani kati ya mapendekezo ya Tume ya Warioba ya kupendekeza muundo wa serikali tatu, huku msimamo wa Chama cha Mapinduzi CCM ni serikali mbili, Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ameibuka na kudai kuwa pendekezo la Tume ya Warioba kupendekeza muundo wa muungano wa serikali tatu, ni illegal, unjustified na ni kuuvunja muungano!.

Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru, ameibuka na msimamo huo mkali, wakati akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha TBC, kilichokuwa kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri, Shabani Kissu, ambapo alikuwa ameandamana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu, Ameir Kificho.

Kingunge, amesema, msingi mkuu wa muungano ni mkataba wa muungano, "Articles of the Union" zenye dhima ya muungano wa serikali mbili. Kitendo za kuubali muungano wa serikali mbili kwenda serikali tatu, ni kuyavunja yale makubaliano ya muungano kinyume cha sheria, hivyo ni kuuvunja huo muungano wenyewe, hivi pendekezo hilo ni illegal!.

Kingunge amesema kuwa ule mkataba wa muungano, ndio msingi mkuu wa muungano uliopo na unaendeshwa kwa kufuata misingi ile ile ya mikataba, ili kubadili kitu cha msingi kwenye mkataba, lazima kwanza "parties to contract" or their legal representatives wakae pamoja na kukubaliana kubadilisha makubaliano hayo!. Hivyo hilo pendekezo la kubadili muundo toka serikali mbili kwenda serikali tatu, bila kuwakutanisha "parties to contract" na wakakubali, ni pendekezo illegal!, utaratibu halali wa kuelekea kwenyependekezo la serikali tatu, ulibidi uanzie kwanza kwenye kuvunja kwanza yale makubaliano ya serikali mbili, kisha wadau wa makubaliano hayo wakae tena chini wapendekeze muundo wa serikali tatu na kukubaliana, ndipo pendekezo hilo lingeletwa bungeni na kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya aina ya muungano, ndipo lije sasa ndani ya katiba mpya!.

Jaji Warioba amelitoa wapi pendekezo hili la kuyavunja makubaliano ya muungano, bila kwanza kuwaita wale wadau wa muungano?.

My Take:
Hoja za Kingunge ni very valid na logical, kama hoja hii ni kweli, then, muungano ulivunjwa rasmi siku ile tulipobadili katiba na kumuondoa rais wa Zanzibar, asiwe makamo wa kwanza wa Rais wa Tanzania bila consent ya parties to contact!.

Ila kama msingi mkuu wa CCM kushikilia msimamo wa serikali mbili, ndio huu, then CCM wako very right kutetea serikali mbili, kuweka msimamo wa pamoja wa serikali mbili, ila ningeshauri kwanza hiyo rasmu ambayo imeelezwa kuwa ni illegal, kwanza iwe declared kuwa rasmimu hiyo ni illegal, iwekwe pembeni, wajumbe wetu wa bunge la katiba watengeneza rasimu nyingine legal, watupatie tuu hiyo "Bora Katiba" kelele hizi ziishe tuendelee na mengine!.

Kidemokrasia mambo yote ni serikali tatu!
Kisheria serikali mbili ndio mpango mzima!,
Ila kudumisha muungano, serikali moja ndio mambo yote na ndio kila kitu!.

Jee wewe unasimama wapi?!.

Pasco.
Kingunge aache unafiki.Huyu mzee amepitwa na wakati.Wakati Zanzibar wanabadili katiba yao 2012 na kutamka kwamba Zanzibar ni nchi,mbona Kingunge alinyamaza? Je,huo si unafiki? Warioba anasema huu muungano wa leo siyo ule waliouacha waasisi wetu.Wale wazee waliacha Muungano wa nchi moja,serikali mbili na muungano wa leo ni Nchi mbili saerkali mbili.Sasa Kingunge atuambie hili likoje.
 
serikali moja ndio mpango, ingekuwa ni amri yangu nisingependa majina kama nchi ya zanzibar au Tanganyika yazikwe kabisa badala yake watubakishie Tanzania yetu. After all, wengi wetu hatukuzaliwa kwenye hizo nchi!
 
Wanabodi,

Wakati mjadala wa muundo wa muungano ukiendelea, na haswa ukinzani kati ya mapendekezo ya Tume ya Warioba ya kupendekeza muundo wa serikali tatu, huku msimamo wa Chama cha Mapinduzi CCM ni serikali mbili, Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ameibuka na kudai kuwa pendekezo la Tume ya Warioba kupendekeza muundo wa muungano wa serikali tatu, ni illegal, unjustified na ni kuuvunja muungano!.

Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru, ameibuka na msimamo huo mkali, wakati akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha TBC, kilichokuwa kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri, Shabani Kissu, ambapo alikuwa ameandamana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu, Ameir Kificho.

Kingunge, amesema, msingi mkuu wa muungano ni mkataba wa muungano, "Articles of the Union" zenye dhima ya muungano wa serikali mbili. Kitendo za kuubali muungano wa serikali mbili kwenda serikali tatu, ni kuyavunja yale makubaliano ya muungano kinyume cha sheria, hivyo ni kuuvunja huo muungano wenyewe, hivi pendekezo hilo ni illegal!.

Kingunge amesema kuwa ule mkataba wa muungano, ndio msingi mkuu wa muungano uliopo na unaendeshwa kwa kufuata misingi ile ile ya mikataba, ili kubadili kitu cha msingi kwenye mkataba, lazima kwanza "parties to contract" or their legal representatives wakae pamoja na kukubaliana kubadilisha makubaliano hayo!. Hivyo hilo pendekezo la kubadili muundo toka serikali mbili kwenda serikali tatu, bila kuwakutanisha "parties to contract" na wakakubali, ni pendekezo illegal!, utaratibu halali wa kuelekea kwenyependekezo la serikali tatu, ulibidi uanzie kwanza kwenye kuvunja kwanza yale makubaliano ya serikali mbili, kisha wadau wa makubaliano hayo wakae tena chini wapendekeze muundo wa serikali tatu na kukubaliana, ndipo pendekezo hilo lingeletwa bungeni na kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya aina ya muungano, ndipo lije sasa ndani ya katiba mpya!.

Jaji Warioba amelitoa wapi pendekezo hili la kuyavunja makubaliano ya muungano, bila kwanza kuwaita wale wadau wa muungano?.

My Take:
Hoja za Kingunge ni very valid na logical, kama hoja hii ni kweli, then, muungano ulivunjwa rasmi siku ile tulipobadili katiba na kumuondoa rais wa Zanzibar, asiwe makamo wa kwanza wa Rais wa Tanzania bila consent ya parties to contact!.

Ila kama msingi mkuu wa CCM kushikilia msimamo wa serikali mbili, ndio huu, then CCM wako very right kutetea serikali mbili, kuweka msimamo wa pamoja wa serikali mbili, ila ningeshauri kwanza hiyo rasmu ambayo imeelezwa kuwa ni illegal, kwanza iwe declared kuwa rasmimu hiyo ni illegal, iwekwe pembeni, wajumbe wetu wa bunge la katiba watengeneza rasimu nyingine legal, watupatie tuu hiyo "Bora Katiba" kelele hizi ziishe tuendelee na mengine!.

Kidemokrasia mambo yote ni serikali tatu!
Kisheria serikali mbili ndio mpango mzima!,
Ila kudumisha muungano, serikali moja ndio mambo yote na ndio kila kitu!.

Jee wewe unasimama wapi?!.

Pasco.

Si kweli: Soma Kitabu cha Nyerere: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania....nukuu hii:
"Nchi mbili zinapoungana na kuwa Nchi Moja mifumo ya kawaida mifumo ya miundo ya Katiba ni miwili: Kwa mfumo wa kwanza kila nchi itafuta serikali yake, na Nchi mpya inayozaliwa itakuwa ni nchi moja yenye serikali moja. Katika mfumo wa pili kila nchi itajivua madaraka Fulani ambayo yatashikwa na serikali ya shirikisho, na itakuwa na serikali ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yaliobaki. Mambo yatakayoshikwa na serikali ya shirikisho ni yale ambayo yakibaki katika mamlaka ya nchi zilizoungana, basi kwa kweli nchi hizo zitakuwa hazikuungana kuwa nchi moja, bali zinaendelea kuwa nchi mbili zenye ushirikiano mkubwa katika mambo fulani fulani.Shirikisho halisi la nchi mbili litakuwa ni nchi moja yenye serikali tatu, Serikali ya shirikisho na serikali mbili za zile nchi mbili za awali zilizoungana kuzaa nchi mpya moja."

na nukuu hii:
"Kama jambo hilo lingetokea, nina hakika kabisa kwamba mfumo wa nchi mpya ambayo ingezaliwa ungekuwa ni wa Shirikisho; ama shirikisho la Nchi Tatu zenye serikali nne, au Shirikisho la Nchi Nne lenye Serikali Tano. Kwa kweli hata kesho nchi za Afrika Mashariki zikiamua kuungana na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili- ya Zanzibar na Tanganyika- kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar."
 
Pasco unapiga kelele za bure tu! Watz [wabara na visiwani] hatuwezi kuwa wakweli! Muungano mzuri na wa kindugu ni serikali 1! Huo ndio ukweli! Mambo ya serikali mbili ni ujinga na wizi! Serikali 3 ni kuliana timing tu! Tayari tunabaguana na tunachukiana!
...
Kwa mtazamo wangu finyu nahisi kwanza tungevunja Muungano then tuangalie kama kunaulazima wa kuungana!
 
Asante kwa mawazo yako mema sana ya kututakia yaliyo mema ila tujadili yafuatayo:

1. mVUNJAJI MKUU WA KATIBA NI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ambaye alikula kiapo cha kulinda Muungano wa Tanzania,lakini serikali ya Zanzibar ikatengeneza katiba nyingine ya kuvunja muugano kwa kuweka maneno kwamba ni NCHI..yeye na serikali yake wakakaa kimya...waasisi wa Muungano hawakuacha hayo...

2. Sasa hivi ukienda kuishi zanziba unatakiwa uwe na kibali cha ukaazi,manake ni nchi nyingine...sasa CCM wanachotetea ni nini...ni unafiki tu
 
Sababu wanazotoa mi ndio nakua hoi kabisa.... no wonder nchi iko hoi namna hii, ni kwa sababu tuliachia vilaza na vingunge kutuongoza
 
ndoa yoyote ni lazima iwe ya hiari na na iwe fair katika contribution na rewards za ushirikiano huo, kinyume cha hapo itakuwa ni kubakana na hiyo ni kinyume cha sheria.
 
Lakini jambo jingine ni kwamba wanamlaumu Warioba bure kwa kuwa yeye kawasilisha maoni waliyoyakusanya knchi nzima,tena kwa kuonyesha asilimia kwamba 61% wanataka serikali tatu. na pia kaeleza malalamiko ya wazanzibari hadi kufikia kuamua CHAO NI CHAO NA CHETU NI CHETU NA WAO".. Walipoamua kuvunja katiba kwa kuunda katiaba na kuweka vipengere vya kuiainisha zanziba ni nchi ,serikali ya CCM walikuwa hawaoni au hawakujua?

WAASISI WA MUUNGANO WALIACHA NCHI MOJA YENYE SERIKALI MOJA, CCM ya sasa inaongoza NCHI MBILI ZENYE SERIKALI MBILI..Hii haikubaliki!!!! Watanzania tunataka Ama serikali moja katika nchi moja! au serikali tatu katika nchi moja! Mbona hayo yako wazi jamani?

MAONI YANGU...TUSHAURIANE KWA UPENDO NA AMANI,TUREKEBISHE KASORO ZOTE KWA KWA KUELEZANA UKWELI
 
Wanabodi,

Wakati mjadala wa muundo wa muungano ukiendelea, na haswa ukinzani kati ya mapendekezo ya Tume ya Warioba ya kupendekeza muundo wa serikali tatu, huku msimamo wa Chama cha Mapinduzi CCM ni serikali mbili, Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ameibuka na kudai kuwa pendekezo la Tume ya Warioba kupendekeza muundo wa muungano wa serikali tatu, ni illegal, unjustified na ni kuuvunja muungano!.

Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru, ameibuka na msimamo huo mkali, wakati akiwa kwenye kipindi cha mahojiano cha TBC, kilichokuwa kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri, Shabani Kissu, ambapo alikuwa ameandamana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Pandu, Ameir Kificho.

Kingunge, amesema, msingi mkuu wa muungano ni mkataba wa muungano, "Articles of the Union" zenye dhima ya muungano wa serikali mbili. Kitendo za kuubali muungano wa serikali mbili kwenda serikali tatu, ni kuyavunja yale makubaliano ya muungano kinyume cha sheria, hivyo ni kuuvunja huo muungano wenyewe, hivi pendekezo hilo ni illegal!.

Kingunge amesema kuwa ule mkataba wa muungano, ndio msingi mkuu wa muungano uliopo na unaendeshwa kwa kufuata misingi ile ile ya mikataba, ili kubadili kitu cha msingi kwenye mkataba, lazima kwanza "parties to contract" or their legal representatives wakae pamoja na kukubaliana kubadilisha makubaliano hayo!. Hivyo hilo pendekezo la kubadili muundo toka serikali mbili kwenda serikali tatu, bila kuwakutanisha "parties to contract" na wakakubali, ni pendekezo illegal!, utaratibu halali wa kuelekea kwenyependekezo la serikali tatu, ulibidi uanzie kwanza kwenye kuvunja kwanza yale makubaliano ya serikali mbili, kisha wadau wa makubaliano hayo wakae tena chini wapendekeze muundo wa serikali tatu na kukubaliana, ndipo pendekezo hilo lingeletwa bungeni na kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya aina ya muungano, ndipo lije sasa ndani ya katiba mpya!.

Jaji Warioba amelitoa wapi pendekezo hili la kuyavunja makubaliano ya muungano, bila kwanza kuwaita wale wadau wa muungano?.

My Take:
Hoja za Kingunge ni very valid na logical, kama hoja hii ni kweli, then, muungano ulivunjwa rasmi siku ile tulipobadili katiba na kumuondoa rais wa Zanzibar, asiwe makamo wa kwanza wa Rais wa Tanzania bila consent ya parties to contact!.

Ila kama msingi mkuu wa CCM kushikilia msimamo wa serikali mbili, ndio huu, then CCM wako very right kutetea serikali mbili, kuweka msimamo wa pamoja wa serikali mbili, ila ningeshauri kwanza hiyo rasmu ambayo imeelezwa kuwa ni illegal, kwanza iwe declared kuwa rasmimu hiyo ni illegal, iwekwe pembeni, wajumbe wetu wa bunge la katiba watengeneza rasimu nyingine legal, watupatie tuu hiyo "Bora Katiba" kelele hizi ziishe tuendelee na mengine!.

Kidemokrasia mambo yote ni serikali tatu!
Kisheria serikali mbili ndio mpango mzima!,
Ila kudumisha muungano, serikali moja ndio mambo yote na ndio kila kitu!.

Jee wewe unasimama wapi?!.

Pasco.
Pasco nina maswali matatu kwako
1.Kama Articles of the Union ilikuwa inasema kuwa Muungano ni wa nchi moja yenye serikali 2, kisha serikali moja ikaamua kuketi peke yake na kujitengengenezea nchi huoni kuwa hayo maamuzi ni Contrary to the Articles of the Union? Na je hapo huoni kama Muungano tayari ulikuwa umeshavunjwa?

2.Je Wazanzibari ambao tayari wameshadeclare kuwa Zanzibar ni nchi kamili, je watakuwa tayari kurudi mezani na kusema kuwa Zanzibar si nchi tena? ni sehemu ya JMT, Kama Articles of the Union Ilivyokuwa inasema?

3.Pasco unawezaje kuwa na muungano wa nchi mbili zenye serikali mbili na kuuita muungano?

Nawasilisha.
 
Kingunge aache unafiki.Huyu mzee amepitwa na wakati.Wakati Zanzibar wanabadili katiba yao 2012 na kutamka kwamba Zanzibar ni nchi,mbona Kingunge alinyamaza? Je,huo si unafiki? Warioba anasema huu muungano wa leo siyo ule waliouacha waasisi wetu.Wale wazee waliacha Muungano wa nchi moja,serikali mbili na muungano wa leo ni Nchi mbili saerkali mbili.Sasa Kingunge atuambie hili likoje.
Sipendi sana kutumia jukwaa hili la Jamii forum kuzungumzia mambo ya kisiasa maana mimi si mtu wa siasa. Lakini huu si wakati wa kawaida. Wakati Bunge Maalum la katiba linaendelea mustakabali wa Taifa letu upo mikononi mwa waheshimiwa wa Bunge hili, hasa wanachama wa CCM maana wao ndio walio wengi. Matumaini yangu ni kwamba baada ya Mh. Jaji Warioba kutoa hotuba ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba wajumbe wote watashikamana ili kututendea haki sisi walipa kodi tunaogharamia posho zao na gharama nyingine ya mchakato mzima. Nikiangalia nyuma kuna vitu vinanipa wasiwasi. Baada ya kutoa rasimu ya awali, wajumbe wa Tume ya Kurekebisha Katiba, hasa Mwenyekiti wao Jaji Warioba, walitukanwa na baadhi ya wanasiasa. Mzee Warioba aliitwa majina kama "msaliti", "mateka wa vyama vya upinzani", na kadhalika. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa uhasama dhidi ya Tume na ambao umejidhihirisha mpaka hivi majuzi. Kabla ya kufanyiwa marekebisho, sheria ya kuanzisha Mchakato wa kurekebisha katiba iliruhusu Tume ya kurekebisha Katiba iendelee kushirikiana na Bunge la Katiba hata baada ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye chombo hicho. Mantiki ya kipengele hiki inaeleweka, maana ilitegemewa kuwa Bunge Maalum lingekaribisha ufafanuzi, labda kwenye kamati zake, kuhusu sababu zilizopelekea tTume kupendekeza ibara hii au ile. Hata hivyo, baada ya rasimu ya kwanza kusambazwa, kipengele hicho kilibatimlishwa na Bungf la Jamhuri. Wajumbe wa Tume ya Warioba sasa walitakiwa wafunge virago mara moja na kuondoka Dodoma baada ya kuwsilisha Rasimu kwa Bunge Maalum. Na ndivyo ilivyo sasa. Wengi, kama siyo wote, wameisharudi makwao. Baadhi tunao hapa Dar na wanajipanga kuanza maisha mapya. Bunge Maalum halina haja ya kuchota kutokana na uzoefu wao. Ugumu alioupata Jaji Warioba
kuweza kupewa muda stahiki wa kutoa hotuba ya kuwasilisha rasimu ya katiba ni jambo la kushangaza. Tangu mwanzo aliomba masaa manne ili aweze kufanya kazi hii hiyo kikamilifu. Aliaambiwa na Mwenyekiti kwamba atapewa saa moja! Alipobembeleleza akapewa masaa mawili. Sote tunakumbuka aibu ya sokomoko tuliyoishuhudia Bungeni J3 jioni. Kulikoni mpaka kazi iliyochukua takriban miaka miwili, na ambayo ndiyo kitovu cha shughuli za Bunge Maalum, ipewe saa moja, na zitengwe siku tatu kwa ajili ya semina za Wabunge? Iweje, kwa upande mmoja, Taifa ligharamie kazi ya Tume na kwa upande mwingine uongozi wa Bunge Maalum ujaribbu kuinyamazisha Tume? Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwamba, hatimaye, busara ilitawala na Jaji Warioba akapewa muda wa kutosha. Nadhani tunakubali kwamba hotuba yake ilisheheni mambo yenye uzito na umuhimu wa aina yake. Tunamwomba Mungu azidi kutujalia ili busara ziendelee kutawala na Wabunge waweze kutanguliza uzalendo badala ya maslai ya vikundi. Hapo Bunge Maalum litaweza kutupatia katiba itakayoneemesha Watanzania, hata wa karne za usoni. Tujifunze kutoka historia. Watawala wa Kenya, katika kulinda maslahi yao binafsi, walichakachua rasimu ya katiba ya Bomas. Ikakakataliwa na wananchi kwenye kura za maoni. Waliingia kwenye uchaguzi mkuu chini ya katiba ya zamani. Sote tunakumbuka gharama iliyolipwa na maelfu ya Wakenya waliopoteza maisha yao, au mali zao, au kupata ulemavu wa kudumu. Ndipo viongozi walipozinduka na kuona kuwa suluhisho la kudumu ni kupata katiba kupitia mchakato utakaoshirikisha wananchi na kuzingatia moni na matakwa yao kikamilifu. Tusingoje tufikie walhpofikia jirani zetu. Tujisahihishe mapema. Fursa nzuri bado tunayo ya kupata katiba nzuri kwa njia ya amani. Nikimaliza kwa kimombo: Let us table the views of our sectional interests (including political parties) for debate and negotiation. But we shall only be able to get a good, acceptable and durable constiution if we don't allow ourselves to remain beholden to the strictures of our sectional interests. Our nation should
 
Lakini jambo jingine ni kwamba wanamlaumu Warioba bure kwa kuwa yeye kawasilisha maoni waliyoyakusanya knchi nzima,tena kwa kuonyesha asilimia kwamba 61% wanataka serikali tatu. na pia kaeleza malalamiko ya wazanzibari hadi kufikia kuamua CHAO NI CHAO NA CHETU NI CHETU NA WAO".. Walipoamua kuvunja katiba kwa kuunda katiaba na kuweka vipengere vya kuiainisha zanziba ni nchi ,serikali ya CCM walikuwa hawaoni au hawakujua?

WAASISI WA MUUNGANO WALIACHA NCHI MOJA YENYE SERIKALI MOJA, CCM ya sasa inaongoza NCHI MBILI ZENYE SERIKALI MBILI..Hii haikubaliki!!!! Watanzania tunataka Ama serikali moja katika nchi moja! au serikali tatu katika nchi moja! Mbona hayo yako wazi jamani?

MAONI YANGU...TUSHAURIANE KWA UPENDO NA AMANI,TUREKEBISHE KASORO ZOTE KWA KWA KUELEZANA UKWELI

unafki
lazima tupite majutoni kwanza
 
Unafiki tu huu! Hawa wazee nchi inaharibika wako kimya wanaibukia kwenye issues ambazo walishindwa kuzuia matokeo yake mapema.Walikuwa wapi wakati Zanzibar wanabadili katiba yao kinyume na matakwa ya katiba mama ya Tanzania?

Ngoja JK naye aje na ngonjera tumshukie kama mwewe.Hoja za Warioba hazipanguki bila kwanza kukiri UDHAIFU mkubwa wa serikali ya CCM kushindwa kusimamia katiba ya muungano iliyovunjwa wazi kwa muongozo wa CCM Zanzibar!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom