P Paf JF-Expert Member May 25, 2021 1,703 3,304 Jun 26, 2021 #1 Mara kwa Mara nimesikia matamko ya Spika akiwa kwenye ufalme wa kiti chake. Kuna mambo mengine sioni kama anastahili/kulazimika kujibiajibia hata masela kwenye mitandao. Muundo wa Watendaji wa Ofisi ya Bungeni ukoje?
Mara kwa Mara nimesikia matamko ya Spika akiwa kwenye ufalme wa kiti chake. Kuna mambo mengine sioni kama anastahili/kulazimika kujibiajibia hata masela kwenye mitandao. Muundo wa Watendaji wa Ofisi ya Bungeni ukoje?
ndege JOHN JF-Expert Member Aug 5, 2015 19,553 44,719 Jun 26, 2021 #2 Achana na hiyo lofa we tafuta wali watoto wale...huyo Hana Muda mrefu atatubia uzinzi wake
othuman dan fodio JF-Expert Member Jan 2, 2018 5,668 9,054 Jun 26, 2021 #3 Jitu lenyewe linaonekana lina dalili zote za outisim ni kuliacha tu unabii wa lema utimie
M Michewen JF-Expert Member Jun 27, 2012 24,551 32,172 Nov 10, 2021 #5 Tafuta pesa wewe achana na mambo yasiyo kuhusu. Kongwa tunamuelewa sana