Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Jumaane,
Mimi naona kwa sasa hivi Zanzibar ndiyo inayo colonize Tanganyika kwa sababu yenyewe inajitawala na bado inashare kwenye Muungano. Unasema Tanganyika can't force Muungano wanaoutaka wao na Zanzibar, Je huoni kwa kusema hivyo unataka Zanzibar ndiyo i force Muungano wanaoutaka wao na Tanganyika? Marekani ni muunganiko wa nchi zaidi 40 ambazo zilikuwa na mchanganyiko wa nchi ndogo na kubwa. Maskini na Tajiri lakini wameunda serikali moja. Kwa nini Serikali moja iwe nongwa kwa Tanganyika na Zanzibar? Je nini mantiki ya Muungano kama bado kila muungana ana serikali yake?
Hoja ya Serikali tatu ni hoja ya wanasiasa kujitengenezea nafasi za ulaji.
Nakala: Mzee Mwanakijiji.
TUMBIRI (PhD, University of HULL, United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Hizo nchi arubaini za USA uliwahi kuzisikia? na unaweza kutupa maraisi wao ? Watu wengine bana iko naburusa wengine.