Serikali mbili ni mzigo sana kwa serikali ya Muungano kwa kuangalia yafuatayo:
-Kila Jimbo Zanzibar, pamoja na udogo wa majimbo haya, lina WABUNGE wawili. Mmoja ni wa Bunge la JMT na mwingine ni wa BLW;
-BLW lina wawakilishi watano ndani ya Bunge la JMT, Bunge la JMT halina uwakilishi kama huo kwenye BLW;
-Mabalozi wote wa Tanzania na gharama za balozi zote zinagharamiwa na serikali ya JMT;
-Vyombo vyote vya DOLA vinagharamiwa na serikali ya JMT;
-Mbunge kutoka Zanzibar anateuliwa kuongoza wizara yoyote ile ndani ya serikali ya JMT;
-Raia wa "NCHI" ya Zanzibar anaweza kuwa Rais wa JMT na sio kinyume chake;
Kwa kweli muundo serikali mbili umepitwa na wakati. Ni serikali moja au tuisaidie Zanzibar irudi ilikokuwa kabla ya MUUNGANO huu. Ndivyo wanavyotaka.
-Kila Jimbo Zanzibar, pamoja na udogo wa majimbo haya, lina WABUNGE wawili. Mmoja ni wa Bunge la JMT na mwingine ni wa BLW;
-BLW lina wawakilishi watano ndani ya Bunge la JMT, Bunge la JMT halina uwakilishi kama huo kwenye BLW;
-Mabalozi wote wa Tanzania na gharama za balozi zote zinagharamiwa na serikali ya JMT;
-Vyombo vyote vya DOLA vinagharamiwa na serikali ya JMT;
-Mbunge kutoka Zanzibar anateuliwa kuongoza wizara yoyote ile ndani ya serikali ya JMT;
-Raia wa "NCHI" ya Zanzibar anaweza kuwa Rais wa JMT na sio kinyume chake;
Kwa kweli muundo serikali mbili umepitwa na wakati. Ni serikali moja au tuisaidie Zanzibar irudi ilikokuwa kabla ya MUUNGANO huu. Ndivyo wanavyotaka.