Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
Kwanza Hamadi ameshainya mara nyingi kutokana na kuwa na maamuzi yake mwenyewe binafsi ya kichama bila kuweza kuwambia vingozi wakuu wa cuf hili hulifanya mara nyingi kwa kushtukiziwa tu.
Na jengine aliloonywa mara nyingi nikukumbatia viongozi wa chama tawala sana na akiulizwa husema asingiliwe katika maisha yake kwa kuchaguliwa rafiki nay eye mwenyewe husema ni best friend zake.
Viongozi wa cuf walipewa alart kumchungua na kwa uhakika kanasa hili linatumika sana Zanzibar hata Maalim Seif alitegwa mitego mingi lakini kavuka kwanza ni pale walipokuwa akionana na ccm/smz viongozi wake wa ngazi za juu basi huwa uongazi wa Cuf unajuwa na inakuwa yuko safe.
Lakini hamadi yeye na Pinda na Kikwete ni pete na Chanda na wote hao hutembena hata katika majumba yao na vikao vyao vya siri, ndio kuna agenda nyengine Hamadi hua hajulikani anazitowa wapi.
In short alikuwa anatumiliwa kuvuruga upinzani na sio cuf tu yani upinzani wote inawezekana hato alomtegea kinasa sauti Dr Slaa chumbani kwake alikuwa yeye mana alikuwa tayari anajipendekeza sana kwa Dr Slaa.
Na kama Dr Slaa hakustuliwa na Maalim Seif angeumbuka maana alijenga matumaini kuwa Hamadi Rashid ni mbinzani mwenzake katika Bunge zidi ya ccm ,lakini ammuana alivyokuwa kinyonga bada ya kukosa kuwa Kiongozi katika kambi ya upinzani alivyo geuka.
Hamadi chuki kubwa zidi ya Maalim Seif nikuwa Maalim anayajuwa mabaya yake mingi na ndio ukaona hajapewa cheo chochote katika Serekali ya Umoja wa kitaifa kashwa amalize uwakilichi wake awe nje bila kujifahamu.
Lakini kashtuka mapema mitego alio tegeshewa sasa ndio ana ji suiced mwenyewe kwenye vyombo vya habari Cuf kimya, ikiwa yeye alitaka kupelekewa barua kuitwa ajieleze na atowe dukuduku lake ili watu wafahamu jee yuko right au wrong .
Lakini kashindwa kutaka kujieleza na kanza kukimbilia vile vile vyombo vya habari huku akikimbia vikao vya chama chake sasa tuone vyombo vya habari vitamsaidia vipi? Ikiwa uongozi wa cuf utasema enough is enough tuangalie tuone.
Lengo la hamadi nikugonganicha vichwa na kuigawa cuf Zanzibar na cuf Bara nah ii ndio agenda no 1 ya ccm aliopewa, kwa Zanzibar kaula na chuwa lakini kwa Bara anaweza kufanikiwa pindipo akipata wapambe.
Wazanzibar wakichaamua hawajali Hamadi wala Seif pindipo yoyote akisaliti na akisibitika basi azabu ni kuasiwa na kutengwa hii ni fatwa ya Wazanzibar kumbuka Maalim alivyo paparika kwa kusema kuwa uongozi wa cuf umemtambua Amani kuwa Rais, kama hakusema uongozi wa cuf na watu kufuatilia kuwa ni uongozi au yeye basi hivi sasa angekuwa mtu wa kawaida tu na Zanzibar kungemshinda kukaa.
Related Posts
Hamad Rashid ana vipimo vyote vya unafik hivi sasa dalili ziko wazi kwa vile tayari kachajijuwa ni mtu wa kufa(Kufukuzwa).
Hamad Rashid agoma kuhojiwa
HAMAD