Kweli wewe unafaa sana kwenye ushauli wengi hawajui hilo ushauli bora kabisa ongera sanaWanawake punguzeni mdomo mdomo na dharau kwa waume zenu.
Yaani dada zetu siku hizi wanaweza kufanya makosa halafu unaongea nae kistaarabu anakuletea ufidhuli mixer dharau na mdomo mchafu.
Hio 50/50 mkiiendekeza itawaponza.
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaanzaje anzaje kumshikia panga mwanamke mnyenyekevu na mtiifu?