Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,436
- 45,703
Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Mkuu ndio huwa tunadanganywa hivi hivi kwa lipsticks
Ila sio njema tuko na misiba mfululizo
Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Hahahaha
Pumzika kabisa.Ohoo! Huu mwaka nitatuliza jini langu la mapenzi maana naona watu wanadhibitiana kwa mapanga tu!😬
Pole kwa familia ndugu na jamaa!.
Mkuu ipo haja ukatoa maelezo kituo cha polisi kilicho karibu na wewe.Mapepo yanatuma mawimbi ya Tamaa na wivu kwa Mtu kifuatacho ni kuua
Ukiua tu pepo linatoka mwili mwako unajikuta unaanza kushangaa na kutaka kukimbia. Wakati ulikuwa jasiri ulivyokuwa umepanga tukio na kutekeleza.
Njaa yao ni hapo tu, furaha yao ni hapo tu, sifa yao ni hapo tu, endeleeni watomboka haoMirembe Hospitali inasikitika kuwatangazia kifo cha muuguzi mwenzetu Rufina Komba , ambaye amefariki asubuhi ya leo.
Kifo cha kikatili kwa kukatwa na mapanga na kuchomwa moto na mumewe.
View attachment 2076243
Hizi picha mbili ni za mtu mmoja?
Hapo mkuu haujatoa elimu umeharibu fani za watu, nadhani hauna uzoefu, maji ya moto tena!Wanaume tufikemahali tukubali kwamba hata mke akigawa gazeti wakalisoma wengine huko nje bado hakijaharibika kitu. K ikipigwa maji ya vuguvugu inakua mpya Tena.
Mbona sisi tunachovya chovya unafikiri Hawa wenzetu hawajui?
Wanajua sana Ila ndoa Ni kuvumiliana
Mirembe Hospitali inasikitika kuwatangazia kifo cha muuguzi mwenzetu Rufina Komba , ambaye amefariki asubuhi ya leo.
Kifo cha kikatili kwa kukatwa na mapanga na kuchomwa moto na mumewe.
View attachment 2076243