nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari Wakuu..
Samahani Ninaomba Nafasi Ya kujitolea Katika Fani Ya Uuguzi na Ukunga.kwa Hospital , Kituo chq Afya , Zahanati au Kuuza Duka La dawa, Homebase Care
Mimi Nimehitimu Chuo Mwaka Huu..
Nipo Dar es Salaam ila Nipo Tayari Kufanya mkoa wowote
Msaada wakuu siwezi Kukaa Idle Kwa sasa...
Samahani Ninaomba Nafasi Ya kujitolea Katika Fani Ya Uuguzi na Ukunga.kwa Hospital , Kituo chq Afya , Zahanati au Kuuza Duka La dawa, Homebase Care
Mimi Nimehitimu Chuo Mwaka Huu..
Nipo Dar es Salaam ila Nipo Tayari Kufanya mkoa wowote
Msaada wakuu siwezi Kukaa Idle Kwa sasa...