the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 728
- 502
Muwe na weekend ya amani na amani iwe nanyi
Kumekua na malalamiko mengi sana dhidi ya muuguzi mkuu korogwe DC kutoka kwa Watumishi wa Afya wilaya hiyo hasa wauguzi
Husikilizi shida zao
Hufuatilii/husimamii stahiki zao.
Unahusika kuwahamisha wauguzi pasipo kuwapa stahiki zao za uhamisho ikiwemo kesho za usumbufu na posho za kujikimu
Kibaya zaidi Raisi Magufuli alipoingia madarakani alisisitiza Mtumishi yeyote wa Serikali pindi atakapohamishwa apewe stahiki zake kabla ya kwenda kituo kipya alikohamishiwa lakini wewe na wakuu wenzio wa idara mmekua hamufanyi hivo na umekua si msimamizi mzuri katika hili wewe kama kiongozi lakini pia umekua ukiwakingia kifua wauguzi ambao wanafanya vibaya kwenye katika vituo vyao na hawakubaliki kabisa katika jamii kutokana na mienendo yao
Kingine kwanini imekua rahisi kwako kupokea malalamiko kutoka kwa wanasiasa hasa madiwani na kuyafanyia kazi hata kama mara nyingi malalamiko yao yanakua si ya kweli na yenye maslahi kwao.
Mfano: yupo diwani ( ) yeye akitongoza mtumishi akikataliwa basi atahakikisha mtumishi huyo anahama kwenye kata yake au mtumishi atakaeonekana yuko na msimamo tofauti na yeye lazima mtumishi huyo ataondoka kwenye kata hiyo,lakini wewe na wakuu wengine wa idara mmekua hamuwaiti watumishi wenu kuwahoji na kusikiliza pande zote mbili
Huna msaada wowote kwa wauguzi wako,kazi yako ni kuhusika na kuwahamisha wauguzi bila kuwapa stahiki zao wala kufuatilia stahiki zao wewe upo kimaslahi tu na kwa hayo maslahi yako familia za wauguzi hao zinaishi maisha ya ajabu,woga na stress nyingi za maisha maana kila siku wanaanza maisha mapya
Hii dhambi uliyoipandikiza miaka yote itakuja kukuadhibu siku yeyote
Kumekua na malalamiko mengi sana dhidi ya muuguzi mkuu korogwe DC kutoka kwa Watumishi wa Afya wilaya hiyo hasa wauguzi
Husikilizi shida zao
Hufuatilii/husimamii stahiki zao.
Unahusika kuwahamisha wauguzi pasipo kuwapa stahiki zao za uhamisho ikiwemo kesho za usumbufu na posho za kujikimu
Kibaya zaidi Raisi Magufuli alipoingia madarakani alisisitiza Mtumishi yeyote wa Serikali pindi atakapohamishwa apewe stahiki zake kabla ya kwenda kituo kipya alikohamishiwa lakini wewe na wakuu wenzio wa idara mmekua hamufanyi hivo na umekua si msimamizi mzuri katika hili wewe kama kiongozi lakini pia umekua ukiwakingia kifua wauguzi ambao wanafanya vibaya kwenye katika vituo vyao na hawakubaliki kabisa katika jamii kutokana na mienendo yao
Kingine kwanini imekua rahisi kwako kupokea malalamiko kutoka kwa wanasiasa hasa madiwani na kuyafanyia kazi hata kama mara nyingi malalamiko yao yanakua si ya kweli na yenye maslahi kwao.
Mfano: yupo diwani ( ) yeye akitongoza mtumishi akikataliwa basi atahakikisha mtumishi huyo anahama kwenye kata yake au mtumishi atakaeonekana yuko na msimamo tofauti na yeye lazima mtumishi huyo ataondoka kwenye kata hiyo,lakini wewe na wakuu wengine wa idara mmekua hamuwaiti watumishi wenu kuwahoji na kusikiliza pande zote mbili
Huna msaada wowote kwa wauguzi wako,kazi yako ni kuhusika na kuwahamisha wauguzi bila kuwapa stahiki zao wala kufuatilia stahiki zao wewe upo kimaslahi tu na kwa hayo maslahi yako familia za wauguzi hao zinaishi maisha ya ajabu,woga na stress nyingi za maisha maana kila siku wanaanza maisha mapya
Hii dhambi uliyoipandikiza miaka yote itakuja kukuadhibu siku yeyote