Munari
Member
- Jun 17, 2021
- 53
- 67
SALAAAM wanajamii?
Mimi ni muuguzi, jinsia mwanaume, nina umri 31 napatikana Kimara ,Dar nina leseni hai ya uuguzi nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi miaka 3+, Level ya fani ni diploma
Naomba kazi au connection ya kazi kwenye hospitali, au kwenye mashirika ya Afya ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali au sehemu ambayo naweza nikafanya kazi hata ( part time) nikapata helaa ya kuendesha maisha.
Home care,ushauri wa afya pia nafanya ila kuwe mazingira rafiki any time....
Najua na KUZINGATIA maadili ya fani na hofu ya Mungu pia katika kutibu,na kuhudumia afya za watu
Naomba kama unaweza kuniunganisha na fursa ya kazi unicheki PM.
Asanteni mtakaoguswa
Mimi ni muuguzi, jinsia mwanaume, nina umri 31 napatikana Kimara ,Dar nina leseni hai ya uuguzi nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi miaka 3+, Level ya fani ni diploma
Naomba kazi au connection ya kazi kwenye hospitali, au kwenye mashirika ya Afya ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali au sehemu ambayo naweza nikafanya kazi hata ( part time) nikapata helaa ya kuendesha maisha.
Home care,ushauri wa afya pia nafanya ila kuwe mazingira rafiki any time....
Najua na KUZINGATIA maadili ya fani na hofu ya Mungu pia katika kutibu,na kuhudumia afya za watu
Naomba kama unaweza kuniunganisha na fursa ya kazi unicheki PM.
Asanteni mtakaoguswa