Muuguzi amchoma sindano ya usingizi binti aliyekuwa akimuuguza mama na kisha kumbaka

Nadhani kichaa hapo ni yule aliemhamisha huyo muuguzi huku akijua alishafanya kosa la kinyama,Na safari hii pia wachimbue kujua kwanini alihamishwa kwa tukio la kwanza na sio kuchukuliwa hatua
 
Ni kweli tukio hilo lipo na hiyo si mara ya kwanza kwani siku za nyuma muuguzi huyo (jina tunalo) akiwa Kituo cha Afya Tarafa ya Igurubi alifanya tukio kama hilo, hivyo hii ni mara ya pilli na huo ni ukiukwaji wa taratibu na kanuni za kiutumishi,” alisema Dkt. Deus.


Kama alishafanya jambo kama hilo ilikuwaje akarudi kwenye utumishi, nani alikuwa nyuma yake
 
Ningekua ndiyo baba mzazi wa huyo binti, ningetafuta hata wapelelezi binafsi ili tu kuhakikisha huyo mpuuzi anatiwa nguvuni.

Ifikie wakati tuwalinde watoto na kuzitambua haki zao. Haiwezekani watu wazima wenzetu wamejaa tele, halafu uende ukamharibu mtoto mdogo na kumfanyia ukatili mpaka atokwe na damu!
 
Achomwe na yeye akija kishtuka anajikuta hana marinda na nya inamuuma vibaya
 
Tuyafikirie maumivu anayoyapata mama, ugonjwa, bintie kubakwa! Kuna watu ni makatili sana duniani.

Pole yake binti, huyu muuguzi ni mgonjwa wa akili.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom