kabogo matagi
Member
- May 23, 2019
- 33
- 22
firahun wahed hyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe beibe ulibadilisha ID mwenzio nakutafuta hivyoMungu wangu!
HahahaJinga sana huyo muuguzi, wanawake mpaka wa 500/= wapo
Bora ata angemlaghai kwa njia yoyote ileJinga sana huyo muuguzi, wanawake mpaka wa 500/= wapo
“Ni kweli tukio hilo lipo na hiyo si mara ya kwanza kwani siku za nyuma muuguzi huyo (jina tunalo) akiwa Kituo cha Afya Tarafa ya Igurubi alifanya tukio kama hilo, hivyo hii ni mara ya pilli na huo ni ukiukwaji wa taratibu na kanuni za kiutumishi,” alisema Dkt. Deus.
Bora ata angemlaghai kwa njia yoyote ile
labda n maelezo ya bintiSAA 4 hadi SAA 8. Wakaanza kumtafuta SAA ngapi? Au hayo ni makadirio?
Nilibadilisha kipindi umebanana na maandalizi ya UE, hongera kwa kuhitimu masomo yako mkuuKumbe beibe ulibadilisha ID mwenzio nakutafuta hivyo