Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Ktk hali ya kushangaza jeshi la polisi limetangaza kuwa kumetokea kijana mmoja ambaye ni mweupe mtanashati anawachukua wanawake na kwenda nao gesti akishafanya nao ngono anawaua! Kwa mjibu wa Afande Kova ni kuwa kijana huyo kashanyonga wanawake wanne maeneo ya buguruni,mtongani na keko
Chanzo chanel kumi!!
Chanzo chanel kumi!!