Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Saidi Mwema anakosea, angempandisha cheo huyo askari.
sometimes being satirical doesnt mean being "insensitive"
Saidi Mwema anakosea, angempandisha cheo huyo askari.
mkuu tena, huwa anapitia humu jf may be atazingatia ushauli wako.
sometimes being satirical doesnt mean being "insensitive"
Ndio nini hicho?
Muulize mwema akusaidie kuelewa
Tatizo liko hapo kwamba polisi wanatumiwa na CCM ili kuzima kasi ya M4 ambayo inatishia nafasi ya CCM kuendelea kutawala baada ya mwaka ya 2015.
Kwani kaandika Mwema hapo?
Yap! Kuwawajibisha wanaoua raia wasio na hatia.Tunashukuru kwa taarifa kama kafukuzwa kazi basi safari ya kwenda mahamakani imewadia.
so it was ok to shootMy humble opinion has got nothing to do with sensitivity.
Why should he be fired if he was simply following the orders from whoever? My opinion is, he should be promoted.