Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,902
- 14,377
Kuna mijitu humu inaboa, kama story linaijua limesoma ya nn?kwa nn lisiache tusiojua tufuatilie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Madam B be blessed.Online mimi huwa naenda hapa katika website yao hii
View attachment 568778
Na nikitaka kuangalia crime za Uk tu naenda hapa
View attachment 568782
Ipo App ya ku-download ngoja niingie nikuoneshe
Mimi huwa naingia opera online via Crime investigation nacheki live.Hyo App inaitwaje Madame?
Okey asante mamie ubarikiwe.Mimi huwa naingia opera online via Crime investigation nacheki live.
But kwa Azam channel 504 ndipo unapata hizi crime zote kwa mtiririko.
App store zipo crime ..ila mie huwa napenda sana kucheki live via online.
Basi Mkuu unatakiwa kuwa Mvumilivu kama Nyota vile, ili utafuniwe we uwe unameza tu.hii iko kwa Kiinglish mie nataka kurahisishiwa kwa Kiswahili