kobelloSubmit your own bill and let the people choose!!.....you can cry all you want,or you
can draft an alternative bill.Facts are facts,we went to the polls and the oppostion lost!
Mnajua ni kwa nini wanazungumzia wenyeviti wa vijiji?
Mbona sio madiwani?
ntawatumia matokeo ya vijiji 2009 then mtajua ni CCM i8n action.
kwa mfano kusema kuhoji tume ya iliyoundwa na rais ni kosa la jinai amabayo azabu yake ni jela miaka mbili au failni ya mil. 5 au vote pamoja haina tofauti kabisa na ile sharia ya kiarabu ya kuadhibu kwa kupigwa mawe hadi kufa ukienda kinyume na uislamu.
kwa ndoto niliyooteshwa leo ni kwuwa huu mswaada kama wakristo wataukubali upite, basi watakuwa wahanga wa sharia kali za kiislamu na watapata mateso makubwa kutoka kwa hawa waislamu wa pwani.
na huu muswaada ukipita tu, basi tzazania haitakwepa kitanzaia cha kujiunga na OIC na kmakhakama za Kadhi ambazo huwa ni kero kubwa kwa jamii ya wakristo duniania kokote.
nawakilisha.
Unaijuwa Sharia wewe au unapayuka tu?