King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,586
Wadau nani mwenye highlights hatujuze vitu vya msingi vinavyotaka kuwekwa kwenye hyo sheria ya mifuko ya hifadhi za jamii.
Nasikia mafao hayatakiwi kuzidi wiki mbili mtu akistahafu na ikizidi watatozwa fine hayo mashirika
Nasikia pia watapunguza baadhi ya viambatanisho visivyokua vya msingi kupunguza mlolongo mf barua ya ajira nk
Nawasilisha.
Nasikia mafao hayatakiwi kuzidi wiki mbili mtu akistahafu na ikizidi watatozwa fine hayo mashirika
Nasikia pia watapunguza baadhi ya viambatanisho visivyokua vya msingi kupunguza mlolongo mf barua ya ajira nk
Nawasilisha.