Muswada wa marekebisho ya sheria ya manunuzi ya umma 2011

Je unazungumziaje tabia za watumishi wengi katika manunuzi kutokuwa waadilifu. Tatizo ni nini? Bila 10% kazi hazifanyiki!

kwa Tanzania procurement ni taaluma mpya sana, hvyo wataalamu lilikuwa tatizo hapo nyuma kidogo!
Hivyo watendaji hawa wengi walikuwa wanasimamia wasichokijua kwa nafasi kubwa, hivyo tatizo kubwa lilikuwa ni upungufu wa ujuzi katika taaluma na miiko yake!
Suala la 10% nakuhakikishia halikwepeki mkuu wangu, sababu kuna wakati linakuja katika sura ya zawadi. Hebu we piga picha kama mfano wewe ni Supplier umeshiriki bid ambapo mpo suppliers zaidi 20 hvi, na hyo kazi ni kama ya Tshs milions of hundred, afu ukashinda katika haki (na inatokea kwa asilimia kubwa tu kushinda kwa haki) je utashindwa kuwapa chochote wale members wa bodi ya tenda??
Hayo ndio mazingira ya utendaji, pia kuna suala la mahusiano na supplier kitaaluma kabisa hili na linafaida zake, na haitazuilika kupata mkono toka kwa supplier sababu naye anambinu zaidi za kutaka kukushika katika kipindi cha mkataba!
Muhimu zaidi ni kuwa na watumishi ambao wenye uwezo kitaaluma. Toka mwaka juzi serikali ilianza kwa kasi kidogo kuajiri wataalamu wa idara hii japo mwaka jana naona zoezi limeingia nyongo kidogo, hvyo bado halmashauri nyingi sana hazina wataalamu kwenye eneo hili, achilia mbali kwenye mawizara na idara nyingine za umma!
 
kwa Tanzania procurement ni taaluma mpya sana, hvyo wataalamu lilikuwa tatizo hapo nyuma kidogo!
Hivyo watendaji hawa wengi walikuwa wanasimamia wasichokijua kwa nafasi kubwa, hivyo tatizo kubwa lilikuwa ni upungufu wa ujuzi katika taaluma na miiko yake!
Suala la 10% nakuhakikishia halikwepeki mkuu wangu, sababu kuna wakati linakuja katika sura ya zawadi. Hebu we piga picha kama mfano wewe ni Supplier umeshiriki bid ambapo mpo suppliers zaidi 20 hvi, na hyo kazi ni kama ya Tshs milions of hundred, afu ukashinda katika haki (na inatokea kwa asilimia kubwa tu kushinda kwa haki) je utashindwa kuwapa chochote wale members wa bodi ya tenda??
Hayo ndio mazingira ya utendaji, pia kuna suala la mahusiano na supplier kitaaluma kabisa hili na linafaida zake, na haitazuilika kupata mkono toka kwa supplier sababu naye anambinu zaidi za kutaka kukushika katika kipindi cha mkataba!
Muhimu zaidi ni kuwa na watumishi ambao wenye uwezo kitaaluma. Toka mwaka juzi serikali ilianza kwa kasi kidogo kuajiri wataalamu wa idara hii japo mwaka jana naona zoezi limeingia nyongo kidogo, hvyo bado halmashauri nyingi sana hazina wataalamu kwenye eneo hili, achilia mbali kwenye mawizara na idara nyingine za umma!

Ndugu yangu usiseme kabisa kuhusu hiyo 10%! Mwaka huu kampuni yangu iliomba tenda ya ku-supply vifaa fulani hivi kwenye shirika moja la umma na nikapata taarifa kwamba tumeshinda hiyo tenda. Baada ya taarifa hiyo nikaanza kufuatilia "letter of award" bila mafanikio.

Baadae nikaja kugundua kwamba kuna mchezo unachezwa na baadhi ya staff wa PMU ili wabadilishe maamuzi na kumpa mtu wao ambae walikuwa wamemuandaa lakini tender board ikatu-award sisi.

Ni kweli kwamba hatukuwa tume compromise na watu wa PMU, sisi tulitender kadri ya bei zetu, sasa tulipobaini kwamba wenzetu wanataka kuwezeshwa ikawa ngumu kwakuwa hakuna mahali pa kunyofoa. Na hao wote wanaofanya mambo hayo ni watu wamesoma procurement and supplies, sio wa kuunga unga kama mtu unavyoweza kudhani. Ndio maana nikasema bila watu kuwa wazalendo na kuwa waaminifu, kwa sheria hii tumekwisha, hata kama GPSA ina matatizo lakini hiyo si kigezo cha kuitupia mzigo wa madudu yanayoendelea ndani ya sekta ya manunuzi nchini Tanzania.
 
Mwisho wote walioukataa watauunga mkono kwa kusema ndioooo, halafu Tanzania inajaa vitu chakavu vitu kwa matumizi ya dharura.
Hata recycle ya kondom zilizotumika kwa wenzetu zitafaa kuagizwa kwa vile zao zina ubora zaidi zinaweza kutumika mara kadhaa kabla hazijapasuka.
 
Back
Top Bottom