Kama kweli umeondolewa, nadhani walioshiriki kuuandaa mswada huo ni wale wale waliosema" Lazima Deni la Dowans lilipwe haraka" baadaye ikaja kuonekana kuwa hakuku na sababu za msingi kulipa deni hilo. Kwa makosa hayo mawili tu ya kuiabisha serikali yana tosha kuwatimua kazi wahusika.
Wana bodi,
Hatimaye serikali imeuondoa kinyemela ule muswada Tata wa uundaji wa tume ya kukusanya maoni kuhusiana na katiba mpya. Muswada huo sasa hautawasilishwa tena kama ulivyopangwa awali na badala yake, utawasilishwa kikao cha mwezi Juni.
Habari hizi ni kwa mujibu wa souce ya 'kuaminika'
Hata hivyo 'source' huyo hakunipa sababu za serikali kuuondoa muswada huo ila kwa maoni yangu,
Pasco.
- Serikali yetu sasa ni serikali sikivu, hivyo imesikia kilio cha waliokwisha toa maoni na ikakubali kuyazingatia.
- Hivyo muswada umerudishwa ili kufanyiwa marekebisho ya muhimu kiwemo kujumuisha michango ya wadau
- Utakapoletwa tena hiyo mwezi Juni, utakuwa ni kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
- Hii inamaanisha hata zile siku mbili za bunge kuendelea kukutana mjini Dodoma, siku ya Jumatatu na Jumanne ijayo kwa ajili ya kupokea maoni ya waheshimiwa wabunge, sasa hazitakuwepo, hivyo kikao hiki cha bunge kitamalizika rasmi siku ya Ijumaa.
- Pia kunauwezekano serikali imesoma dalili za nyakati kwa kuangalia kama maoni ya watu wa kawaida yametoa cheche vile, jee hayo ya wabunge si ndio yangewasha kabisa moto na hata kuulipua ukumbi wa bunge?!.
- Uthibitisho wa kuondolewa kwa muswada huu, utawajia soon!
Pasco hebu fuatilia hiyo source yako vizuri kujua nini kilichoondolewa kati ya haya mawili.
1. Muswada umeondolewa bungeni kinyemela - AU
2. Hati ya dharura ndio imeondolewa ili kuwapa wananchi muda wa kutosha kuudadavua muswada ili maamuzi yake yafanyike bunge la Juni na sio hili la sasa.
Please verify ili mjadala uwe mnono zaidi
Mzee Mwanakijiji, siamini serikali inaogopa maandamano ya Chadema, kwa sabu ingeweza kuwanyima kibali kwa kisingizio kile kile cha yale ya Arusha, na this time, amini usiamini, Chadema wangenyimwa kibali, wasingeandamana kwani kumbukumbu ya risasi za moto za Arusha, bado ni mbichi mionyoni mwetu sisi waandamanaji, na sio wahamasishaji wa maandamano. JK ni kiburi na jeuri, hawezi kuogopa maandamano ya Chadema. Kiburi na jeuri yake mliisikia siku ile alipokuwa akizuia mgomo wa wafanyakazi akaonya watakao andamana shauri yao, vyombo vya dola vitawashughulia kwa nguvu zote (risasi za moto).
Hata sababu ya pili kuwa imeondoa kwa sababu ya ubovu, pia sio sababu, kwa sababu serikali imekwisha pitisha miswada mingi tuu mibovu mibovu, hivyo ubovu sio sababu.
Nakubaliana na wewe kwenye hili la kusoma alama za nyakati.
Kwa mujibu wa posti hii, kinyemela maana yake kuuondoa bila kutoa taarifa rasmi popote. Taarifa rasmi zikishatolewa, sio kinyemela tena.Pasco hebu fuatilia hiyo source yako vizuri kujua nini kilichoondolewa kati ya haya mawili.
1. Muswada umeondolewa bungeni kinyemela - AU
2. Hati ya dharura ndio imeondolewa ili kuwapa wananchi muda wa kutosha kuudadavua muswada ili maamuzi yake yafanyike bunge la Juni na sio hili la sasa.
Please verify ili mjadala uwe mnono zaidi
Wana bodi,
Hatimaye serikali imeuondoa kinyemela ule muswada Tata wa uundaji wa tume ya kukusanya maoni kuhusiana na katiba mpya. Muswada huo sasa hautawasilishwa tena kama ulivyopangwa awali na badala yake, utawasilishwa kikao cha mwezi Juni.
Habari hizi ni kwa mujibu wa souce ya 'kuaminika'
Hata hivyo 'source' huyo hakunipa sababu za serikali kuuondoa muswada huo ila kwa maoni yangu,
Pasco.
- Serikali yetu sasa ni serikali sikivu, hivyo imesikia kilio cha waliokwisha toa maoni na ikakubali kuyazingatia.
- Hivyo muswada umerudishwa ili kufanyiwa marekebisho ya muhimu kiwemo kujumuisha michango ya wadau
- Utakapoletwa tena hiyo mwezi Juni, utakuwa ni kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
- Hii inamaanisha hata zile siku mbili za bunge kuendelea kukutana mjini Dodoma, siku ya Jumatatu na Jumanne ijayo kwa ajili ya kupokea maoni ya waheshimiwa wabunge, sasa hazitakuwepo, hivyo kikao hiki cha bunge kitamalizika rasmi siku ya Ijumaa.
[*]Pia kunauwezekano serikali imesoma dalili za nyakati kwa kuangalia kama maoni ya watu wa kawaida yametoa cheche vile, jee hayo ya wabunge si ndio yangewasha kabisa moto na hata kuulipua ukumbi wa bunge?!.- Uthibitisho wa kuondolewa kwa muswada huu, utawajia soon!
Aibu kubwa kwa mwanasheria mkuu wa tz kwa kumpotosha jk!!
Mzee Mwanakijiji, siamini serikali inaogopa maandamano ya Chadema, kwa sabu ingeweza kuwanyima kibali kwa kisingizio kile kile cha yale ya Arusha, na this time, amini usiamini, Chadema wangenyimwa kibali, wasingeandamana kwani kumbukumbu ya risasi za moto za Arusha, bado ni mbichi mionyoni mwetu sisi waandamanaji, na sio wahamasishaji wa maandamano. JK ni kiburi na jeuri, hawezi kuogopa maandamano ya Chadema. Kiburi na jeuri yake mliisikia siku ile alipokuwa akizuia mgomo wa wafanyakazi akaonya watakao andamana shauri yao, vyombo vya dola vitawashughulia kwa nguvu zote (risasi za moto).
Hata sababu ya pili kuwa imeondoa kwa sababu ya ubovu, pia sio sababu, kwa sababu serikali imekwisha pitisha miswada mingi tuu mibovu mibovu, hivyo ubovu sio sababu.
Nakubaliana na wewe kwenye hili la kusoma alama za nyakati.
Mzee Mwanakijiji, siamini serikali inaogopa maandamano ya Chadema, kwa sabu ingeweza kuwanyima kibali kwa kisingizio kile kile cha yale ya Arusha, na this time, amini usiamini, Chadema wangenyimwa kibali, wasingeandamana kwani kumbukumbu ya risasi za moto za Arusha, bado ni mbichi mionyoni mwetu sisi waandamanaji, na sio wahamasishaji wa maandamano. JK ni kiburi na jeuri, hawezi kuogopa maandamano ya Chadema. Kiburi na jeuri yake mliisikia siku ile alipokuwa akizuia mgomo wa wafanyakazi akaonya watakao andamana shauri yao, vyombo vya dola vitawashughulia kwa nguvu zote (risasi za moto).
Hata sababu ya pili kuwa imeondoa kwa sababu ya ubovu, pia sio sababu, kwa sababu serikali imekwisha pitisha miswada mingi tuu mibovu mibovu, hivyo ubovu sio sababu.
Nakubaliana na wewe kwenye hili la kusoma alama za nyakati.
Mzee Mwanakijiji, siamini serikali inaogopa maandamano ya Chadema, kwa sabu ingeweza kuwanyima kibali kwa kisingizio kile kile cha yale ya Arusha, na this time, amini usiamini, Chadema wangenyimwa kibali, wasingeandamana kwani kumbukumbu ya risasi za moto za Arusha, bado ni mbichi mionyoni mwetu sisi waandamanaji, na sio wahamasishaji wa maandamano. JK ni kiburi na jeuri, hawezi kuogopa maandamano ya Chadema. Kiburi na jeuri yake mliisikia siku ile alipokuwa akizuia mgomo wa wafanyakazi akaonya watakao andamana shauri yao, vyombo vya dola vitawashughulia kwa nguvu zote (risasi za moto).
Hata sababu ya pili kuwa imeondoa kwa sababu ya ubovu, pia sio sababu, kwa sababu serikali imekwisha pitisha miswada mingi tuu mibovu mibovu, hivyo ubovu sio sababu.
Nakubaliana na wewe kwenye hili la kusoma alama za nyakati.