jamani hali hii ni mbaya sana serekali yetu sasa imeamua kununua magari na mitambo chakavu.
hii inanipa wasiwasi nakufanya niamini kuwa sasa watu hawahawa yaani serikali hihi itatuletea pia mswaada wa dawa chakavu labda tuitoe ccm madarakani 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.