Muswada Mpya wa Sheria unalenga kumtetea nani?

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Kumekucha kama kawaida na natumaini nyote wadau mko salama . Kwa wale ambao tuko Tanzania mapema leo hii tumeshuhudia muswada unasomwa na ndugu Nagu. Katika Muswada huo kuna mapungufu yamejitokeza wakati wa wabunge kuchangia .
Mwakyembe kaongea vyema sana then Cheyo he spoke for the poor ambao ndiyo wanao angushiwa mzigo kila mara .

Baadaye nimejiuliza na kuona labda ndyiyo maana JK ameamua ku buy time hadi baada ya miezi ili sheria mpya ya kuwakamata watuhumiwa wakiwa wamethibika kwa ushahidi iwe in place . Sheria hii inaonekana kuwagusa wote walio nje na wale ambao wako tayari mahabusu ama kesi zao kuwa Mahakamani haina msaada . Pia sheria inaishia mahakama za Wilaya pekee kule Mahakama za Mwanzo ni kuumizana . Point hapa ni jinsi JK na saga la BOT na hii sheria mpya kupelekwa leo Bungeni . Kwa tafsiri yangu ninakata tamaa kwa kweli .Kwa aliye sikiliza Bunge au kwa wana sheria naombeni msaada .Saa kumi na moja watarudi kuendelea na jambo hili hili .Cheyo kalalama sana .
 
Sasa kila mwenye kushiriki uozo wa BoT hana haja ya kukimbia wala kuwa na wasi wasi maana jioni hi Bunge limepitisha muswada na kungoja sahihi kwamba hakuna wa kukamatwa kwa tuhuma hadi ushahidi uwepo mezani . Watapenta ila sisi wa kule kijijini tutaendelea kusoma rumamde na kuporwa haki wa juu hawajali .
 
Sasa kila mwenye kushiriki uozo wa BoT hana haja ya kukimbia wala kuwa na wasi wasi maana jioni hi Bunge limepitisha muswada na kungoja sahihi kwamba hakuna wa kukamatwa kwa tuhuma hadi ushahidi uwepo mezani . Watapenta ila sisi wa kule kijijini tutaendelea kusoma rumamde na kuporwa haki wa juu hawajali .
Hivi tunaweza kuipata miswada mapema tukawa tunaipitia haraka haraka? That might be of great help!
 
Back
Top Bottom