Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
MAWAKILI WA VITI MAALUMU
MAAJABU KIDOGO:
1. Unafuta BAR EXAM kwa Wanasheria kupitia kuelekea kupokelewa katika orodha ya MAWAKILI wa Tanzania.
2. Unaanzisha LAW SCHOOL OF TANZANIA kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Bar Exam, ili Wanasheria wote wenye LL.B waende kusoma ili wawe MAWAKILI.
3. Then ghafla Unaanzisha MAWAKILI WA VITI MAALUMU ambao ni Wanasheria wa Serikali au Watumishi wa Mahakama, eti wanapewa EXEMPTION wasiende kusoma kwenye Law School tena, bali wapewe tu "kama zawadi" kwa utumishi Serikalini au Mahakamani.
Yaani Tunaanzisha MAWAKILI WA VITI MAALUMU ambao vigezo vyao vitakinzana na vile vilivyowekwa na Sheria kuu.
Yaani leo ni sawa na Kuwatunuku DAKTARI wa binadamu kuwa DAKTARI BINGWA eti tu kwa sababu amefanya kazi ya kutibu kwa miaka kadhaa kwenye Hospitali za UMMA.
"Mawakili wa Viti maalumu"
A.k.a "Mawakili wa UPE"
A.k.a "Mawakili wa Mwendokasi."
MAAJABU KIDOGO:
1. Unafuta BAR EXAM kwa Wanasheria kupitia kuelekea kupokelewa katika orodha ya MAWAKILI wa Tanzania.
2. Unaanzisha LAW SCHOOL OF TANZANIA kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Bar Exam, ili Wanasheria wote wenye LL.B waende kusoma ili wawe MAWAKILI.
3. Then ghafla Unaanzisha MAWAKILI WA VITI MAALUMU ambao ni Wanasheria wa Serikali au Watumishi wa Mahakama, eti wanapewa EXEMPTION wasiende kusoma kwenye Law School tena, bali wapewe tu "kama zawadi" kwa utumishi Serikalini au Mahakamani.
Yaani Tunaanzisha MAWAKILI WA VITI MAALUMU ambao vigezo vyao vitakinzana na vile vilivyowekwa na Sheria kuu.
Yaani leo ni sawa na Kuwatunuku DAKTARI wa binadamu kuwa DAKTARI BINGWA eti tu kwa sababu amefanya kazi ya kutibu kwa miaka kadhaa kwenye Hospitali za UMMA.
"Mawakili wa Viti maalumu"
A.k.a "Mawakili wa UPE"
A.k.a "Mawakili wa Mwendokasi."