Kauli iliyotolewa na Mbunge Joseph Musukuma imekosolewa na Bodi Filamu kuwa inadhalilisha bodi hiyo na wasanii.
"Tasnia ya filamu nchini ipo hoi taabani. Wasanii wa Bongo Movie hawana kitu, wanategemea michango ya misiba, kufungua madanguro na kuwa makuwadi wa wanaume." Musukuma.
"Tasnia ya filamu nchini ipo hoi taabani. Wasanii wa Bongo Movie hawana kitu, wanategemea michango ya misiba, kufungua madanguro na kuwa makuwadi wa wanaume." Musukuma.