Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

Ubora wa u-darasa la saba wa msukuma ungeeleweka kama angejikita kupinga hoja ya prof. Mhongo kwa hoja mzito. Otherwise msukuma anasukuma upepo tu.
Mkuu, ukisoma uzi kwa makini utagundua Musukuma hoja yake iko wapi.

ngoja tu nikusaidie, Musukuma ameongelea udhaifu wa Muhongo katika kupambanua mambo na akatolea mfano issue ya Makinikia ambapo alishauriwa ila akajibu upuuzi, na hatimaye ushauri wa musukuma ukaonekana wa msingi.

Kwa kifupi Musukuma ametumia mfano huo kueleza kwamba Muhongo hana uwezo wa kupambanua Mambo na anazidiwa hata na Musukuma ambaye hana Elimu
 
zamani siyo siku hizi. Lazima shule ipande uongee kiinglish km huko Dubai .china uk.Usa kwa wajanja.

Humo ndani kwenu mtafilisiwa na wajinga.
Mbona wanasema msukuma ni tajiri na hajasoma? Kwahiyo ana utajiri wa kizamani?
 
Yeye utajiri wake unafaida kwa Taifa? Lugha isiyo nastaha kwa mbunge mwenzake
 
Hapa kuna tatizo kubwa la tafsri nadhani, tunaposema msomi tuna maanisha nini na tunaposema asiyesoma tunamaanisha nini! Maana usomi wa mtu hauwezi kupimwa tu kwa vitabu vingapi amevisoma au masaa mangapi ameyaishi darasani tukienda na hii dhana tutajisahaulisha kuwa hata walioanzisha shule duniani hawakuwa wasomi wa darasani au wa vitabu!
Hivyo basi usomi tuuangalie kwenye uwezo wa kichwa/ ubongo wa mtu kuwa na msaada kwa jamii au taifa lake na kuweza hili kwaweza kutokana na mtu aliyesoma au asiyesoma kabisa.
 
HAPO 'WATU' WASHAPIGA NYUNGU YA BANGE ILKHALI MBEGU HAZIJAENGULIWA!
1618438862902.png
 
Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara

Kuwa na vyeti vya shule ni kitu kimoja na kuelimika ni kitu kingine. As a matter of fact, the acquisition of real education picks up steam after school years.

Lusinde na Msukuma hawana vyeti vya shule kubwa, lakini elimu waliyoipata through life experience ni kubwa kuliko hata ya baadhi ya wale wenye vyeti vya elimu kubwa!
 
Mbona wanasema msukuma ni tajiri na hajasoma? Kwahiyo ana utajiri wa kizamani?
te!!te!!tweee. Kabisaaa! ni mateso Mabaya kuwa tajiri bila Elimu.
Daima atakula ugali tuuu!!na nyama.kitanda cha keko Havuki hapo!!
Tajiri marehem Mengi bana weee!! Manji.Moo! Acha kabisa.
Hata wasipoongea daima wanapendeza daima
kwa macho
Tajiri mburula Ataongea nini na wajanja huyo Duniani huko??
Hata kwenda kuangalia mpira tu nje hajui aanzie wapi labda ajili mtu wa kumsemea!! Na lazima apigwe so ni kawaida yao kuogopa!!
 
Kuwa na vyeti vya shule ni kitu kimoja na kuelimika ni kitu kingine. As a matter of fact, the acquisition of real education picks up steam after school years.

Lusinde na Msukuma hawana vyeti vya shule kubwa, lakini elimu waliyoipata through life experience ni kubwa kuliko hata ya baadhi ya wale wenye vyeti vya elimu kubwa!
hawana lolote zaidi ya ndago.wajukuu wa mwana marundi
 
Wabunge wa darasa la saba waibua mazito bungeni. ( April 14,2021 Dodoma- bungeni)

Wabunge hao ni Lusinde na king Msukuma.
Hoja zao
King Msukuma: Wabunge darasa la saba wapewe hata shahada ya udaktari wa heshima kwa sababu wanatoa hoja zaidi ya maprofesa.
Kazi ya maprofesa ni kufuata.
Livingston Lusinde wanao mlaumu hayati Dr Magufuli wajitathimini kwa hoja ya Mbowe kufungiwa account zake za Benki. Kwani Magufuli alikuwa BoT? (Amesema hayo Lusinde)
Pia amemtaka Tundu Lissu kumuacha mama Samia afanye kazi asimuingilie.

Zaidi tazama 👇
 
Wabunge wa darasa la saba waibua mazito bungeni. ( April 14,2021 Dodoma- bungeni)

Wabunge hao ni Lusinde na king Msukuma.
Hoja zao
King Msukuma: Wabunge darasa la saba wapewe hata shahada ya udaktari wa heshima kwa sababu wanatoa hoja zaidi ya maprofesa.
Kazi ya maprofesa ni kufuata.
Livingston Lusinde wanao mlaumu hayati Dr Magufuli wajitathimini kwa hoja ya Mbowe kufungiwa account zake za Benki. Kwani Magufuli alikuwa BoT? (Amesema hayo Lusinde)
Pia amemtaka Tundu Lissu kumuacha mama Samia afanye kazi asimuingilie.

Zaidi tazama 👇

Mnaongelea wasio bungeni.issue ya drs la saba bungeni ni bomu litalipuka mapema
 
Huko walikopita kwa kishindo hamkuona elimu yao ??.bila shaka waliwashinda wasomi kwa hoja ! Walitoa rushwa ? Hata kama walitoa wasomi walikuwa wapi ! Katiba inawaruhusu kuwa bungeni

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Wabunge wa darasa la saba waibua mazito bungeni. ( April 14,2021 Dodoma- bungeni)

Wabunge hao ni Lusinde na king Msukuma.
Hoja zao
King Msukuma: Wabunge darasa la saba wapewe hata shahada ya udaktari wa heshima kwa sababu wanatoa hoja zaidi ya maprofesa.
Kazi ya maprofesa ni kufuata.
Livingston Lusinde wanao mlaumu hayati Dr Magufuli wajitathimini kwa hoja ya Mbowe kufungiwa account zake za Benki. Kwani Magufuli alikuwa BoT? (Amesema hayo Lusinde)
Pia amemtaka Tundu Lissu kumuacha mama Samia afanye kazi asimuingilie.

Zaidi tazama
Kwa sasa Bunge lina Wajumbe ndio maana Akili ndogo zimetawala kuna Siku Wajumbe hao watasema Watendaji wa Serikali lazima wawe na Elimu ya darasa la 7 kushuka chini
 
Back
Top Bottom