nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Kuwa muelewa anamaanisha daraja la aina hiyoHuyo Musukuma naona uelewa wake unaishia Mwanza. Busisi ndiyo daraja refu kuliko yote katika Afrika!! Amedanganywa na nani?
Kuwa muelewa anamaanisha daraja la aina hiyoHuyo Musukuma naona uelewa wake unaishia Mwanza. Busisi ndiyo daraja refu kuliko yote katika Afrika!! Amedanganywa na nani?
Kwani daraja la Busisi ni la aina gani? Soma tena alichokisema.Kuwa muelewa anamaanisha daraja la aina hiyo
Kwa kweli kwa hoja hiyo, ndiyo inapoonesha kuwa Musukuma ni mbumbumbu.Kwa matendo aliyotenda Mwendazake ni viumu sana kumtetea ndiyo maana huyu Msukuma amesema kuwa Diallo asiongee kwa vile alimpatia mke wake cheo cha DED. STUPID argument
Musukuma ni mjinga, kwake kutetea mambo ya kijinga, ndiyo upeo wake unapoishia.Huyo mtu wenu Msukuma ni mjinga tu, kutokuwa na akili ya kupima mtu anayaongea hadharani ni dalili mbaya ya kutostaarabika.
Sasa tunajua kuwa kuna watu walikuwa wanapoozwa wasimhambuie Mwendazake.Na walikuwa wakifanywa hivyo kwa vile wanatoka kanda pendwa?
Upendeleo huo au ubaguzi huo mbona watu wa Kimara hawakuupata.
Msukuma naye si mwanasiasa, anateteaje mambo ya kijinga kama hayo.
Utanzania kwanza.
Taratibu majambazi yanaanza kutaja njia yaliyokuwa yanatumia kuiba na kupendeleana.Kwani TRA waliwahi kufungui chombo bila shinikizo?
Oops! Nimesahau!!
Kumbe najibu hoja ya Msukuma the O
Anaowangoza ndiyo wajinga zaidi yakeHuyo Musukuma naona uelewa wake unaishia Mwanza. Busisi ndiyo daraja refu kuliko yote katika Afrika!! Amedanganywa na nani?
Hatari snMasikini mjane wa mzee pombe hapa tayari umeshapanic 🤣 🤣 🤣
Hahaha! nakuuliza kwa mara ya mwisho upo tayari kwa matusi ?Unaona sasa?
Yote hii ni fear ya lugha ya English
Yeah,kujua Kingereza sio kwamba nina akili sana ila na wewe kujua Kiswahili hakukufanyi uwe na akili either!
Na hii tabia mbovu ya kuogopa English ni ya hovyo sana,sijui ulienda shule miaka 14 mpaka Chuo Kikuu kusomea mavi?
Jitu zima lina mvi mpaka matakoni lipo hapa linaogopa Kingereza?
Kuku wa maziwa wewe!
Hakuna aneogopa english hapa, bali nimeisha kusoma mara nyingi unapenda kutoa kashfa kwa hiyo lugha humu ndani.Unaona sasa?
Yote hii ni fear ya lugha ya English
Yeah,kujua Kingereza sio kwamba nina akili sana ila na wewe kujua Kiswahili hakukufanyi uwe na akili either!
Na hii tabia mbovu ya kuogopa English ni ya hovyo sana,sijui ulienda shule miaka 14 mpaka Chuo Kikuu kusomea mavi?
Jitu zima lina mvi mpaka matakoni lipo hapa linaogopa Kingereza?
Kuku wa maziwa wewe!
Mtauana majizi ya chama cha majambazi.Diallo Ajiuzulu hana ushawishi tena Mwanza
Kuna watu wamepewa ulaji na Mbowe hawathubutu kumkosoaMsukuma aache kelele akae akijua maji ya moto hayaunguzi nyumba
Kwahiyo Kisa alimteua mkewe Diallo ndio akikosea asisemwe
CCM Kuna nyumbu hawajitambui
Kwahiyo ndio maana mlikua kimya Kwa maovu yake jiwe kisa tu aliwapa teuzi?
Yaani napata hofu watu dizaini ya Msukuma ataweza agongewe mkewe na akakaa kimya kisa tu kapata teuzi
Daaaaa kichekesho!
Msukuma ni chawa tu pumbavu kabisaMbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Sasa na mimi nimo sasa wewe mwenye akili kubwa umeisaidia nn jamii yako ?Hahahaaaa
Wewe nani kakwambia mtu akiongea Kingereza ndio kasoma zaidi ya wanadamu wengine?
Mbona hii tabia ya kujiona inferior mnayo sana wajinga wote mnao-subscribe kwenye dhana ya kipumbavu kabisa ya Magufulism?
Kwa kifupi ni kwamba,Magufuli na Magufulism ni ujinga na upumbavu juu ya upumbavu...ndio maana wananchi wameikataa hii dhana,fanya sensa leo uone!
Wanao mshabikia Magufuli wote wana IQ ndogo wewe included na hiyo ni FACT!
Nyie wala plama hamjitambuiMtauana majizi ya chama cha majambazi.
Umoja wa wachawi haudumu, wezi hawaheshimiani
Mwenyekiti wenu ana faili wapi?anakunywa hadi anaporomoka kwenye ngazi
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Kila sekta ifanye kazi yake