Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,319
- 7,153
Amang'ana gasalikileKuna ndege usukumani wapo huwa wanatengeneza vita vyao kwenye majaruba ya mpunga, ila wakati majaruba yakiwa yana maji ya kutosha. Wanatengeneza viota vyao juu ya maji, na wakishataga mayai, wanatotolesha vifatanga vyao kwenye kiota juu ya maji. Muda ule tu vifaranga vinapokuwa vimetotoleshwa, yaani kifaranga kikishatoka tu kwenye ganda la yai, muda huo huo kinaingia majini na kuanza kuogelea, bila hata kufundishwa. Hivi vifaranga vimefanana na wakurya. Mkurya huwa hahitaji kufundishwa discipline ya umoja kwa sababu hiyo ni asili yake, huwa anazaliwa akiwa tayari na discipline hiyo bila kufundishwa. Mtu huwa hafundishwi asili yake, huwa anazaliwa nayo