Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Huyu musukuma ndiyo mwenyekiti wa wapumbavu nchini ?
Inasikitisha, halafu anatokea mtu mjinga kama Msukuma anaona hilo ni sawa tu.Kumbe jamaa wa 5 alikua anagawa vyeo ili watu wakae kimya
Nyumbu wako chadema ambako lisu na mbowe +lema ni miungu na ma genius wao.Msukuma aache kelele akae akijua maji ya moto hayaunguzi nyumba,
Kwahiyo Kisa alimteua mkewe Diallo ndio akikosea asisemwe
CCM Kuna nyumbu hawajitambui
Kwahiyo ndio maana mlikua kimya Kwa maovu yake jiwe kisa tu aliwapa teuzi?
Yaani napata hofu watu dizaini ya Msukuma ataweza agongewe mkewe na akakaa kimya kisa tu kapata teuzi
Daaaaa kichekesho!
Musukuma anamaanisha mke wake akipewa cheo na mtu basi huyo mtu ni ruksa kufanya uovu wowote hata akimshika matter core atatuli tu.
Kama wewe mwenyewe ambaye hujui huku unajifanya kujua kama msukuma mjinga.Msukuma ni mjinga sana .
Kwa hiyo wasukuma wote walipendelewa au siyo.
Tatizo la kuwa na watu wanaojidai wajanja huku hawaoni madhara ya wanachoongea ni hawa punguani.
mjane wa mzee pombe baada ya edda unatafuta kiben ten??mbona siku hizi una swaga za kiben ten?
Kwa hiyo Magufuli alimteua mke wa Diallo kwa upendeleo?Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Kwani ni Mkubwa kuliko DPPNa mbowe anawatoa punda wake kwa kasi gerezani ili waendelee na cocaine distribution.
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Heri kuwa na faili bar kuliko MilembeMwenyekiti wenu ana faili wapi?anakunywa hadi anaporomoka kwenye ngazi
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Huyo Dialo kama yuko kamati kuu ya ccm ni mtu hafai huko anajiwakilisha kwa maslahi yake ya kibiashara. Halafu ni mjinga cheti feki.
Hapo sasa. Ndio shida ya hizi watu no bookKwa hiyo Magufuli alimteua mke wa Diallo kwa upendeleo?
katiba mpya inaumuhimu sana kutokana na upumbavu kama huuNchi imejaa wajinga. Eti ni vingozi. Yaani watu wanapeana tuvyeo ili wasiseme uozo? Yaani nikimpa mkeo kacheo naruhusiwa kuchepuka naye tu ukiwa umenyamaza?