Musukuma: Mke wa Diallo alipewa Ukurugenzi na Hayati Magufuli. Asema alimsaidia Star Tv ilipofungiwa na TRA

Msukuma aache kelele akae akijua maji ya moto hayaunguzi nyumba,
Kwahiyo Kisa alimteua mkewe Diallo ndio akikosea asisemwe

CCM Kuna nyumbu hawajitambui
Kwahiyo ndio maana mlikua kimya Kwa maovu yake jiwe kisa tu aliwapa teuzi?
Yaani napata hofu watu dizaini ya Msukuma ataweza agongewe mkewe na akakaa kimya kisa tu kapata teuzi
Daaaaa kichekesho!
Nyumbu wako chadema ambako lisu na mbowe +lema ni miungu na ma genius wao.
Kwa CCm hakuna nyumbu na ndo maana unaona wana ccm wanabishana wao kwa wao na kuchimbana biti, hakuna mungu wa chama pale.
Kinachotakiwa ni heshima tu.

Sasa hayo yatokee chadema lazima mtu afe au aitwe msaliti na kutupiliwa mbali hata bila utaratibu wa katiba yao.
( covid 19)
 
Ka
Msukuma ni mjinga sana .
Kwa hiyo wasukuma wote walipendelewa au siyo.
Tatizo la kuwa na watu wanaojidai wajanja huku hawaoni madhara ya wanachoongea ni hawa punguani.
Kama wewe mwenyewe ambaye hujui huku unajifanya kujua kama msukuma mjinga.
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.

Kwa hiyo Magufuli alimteua mke wa Diallo kwa upendeleo?
 
Asitutoe kwenye reli huyu arudi shule akaelimike.
Sisi tunalia na tozo haramu
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.


Huyo Dialo kama yuko kamati kuu ya ccm ni mtu hafai huko anajiwakilisha kwa maslahi yake ya kibiashara. Halafu ni mjinga cheti feki.
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.


kwaio kama ameyafanya hayo ndio asiseme ukweli wa moyo wake?
 
Back
Top Bottom