Royal Tour
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 250
- 452
Hatimaye startv wanazungumzia issue ya Tundu Lissu katika kipindi cha ajenda,mgeni mwalikwa ni mbunge Joseph Kasheku Musukuma. Anasema kipindi cha Hard Talk ndiyo kipindi vingine vyote ni upuuzi.
Anasema Tundu Lissu anatukana nchi kwa kutambua ushoga,ameongeza kuwa anatamani Lissu afutwe ubunge kwa anayoyafanya nje ya nchi.
Anasema Polepole ndiye mwenye haki ya kufanya mikutano ya CCM kwasababu anaeleza wananchi utendaji wa Serikali.
Mashinji muda wake wa kuhuisha chama mpaka 2020.
Kipindi kipo live na kinaendelea.
Anasema Tundu Lissu anatukana nchi kwa kutambua ushoga,ameongeza kuwa anatamani Lissu afutwe ubunge kwa anayoyafanya nje ya nchi.
Anasema Polepole ndiye mwenye haki ya kufanya mikutano ya CCM kwasababu anaeleza wananchi utendaji wa Serikali.
Mashinji muda wake wa kuhuisha chama mpaka 2020.
Kipindi kipo live na kinaendelea.