baracuda
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,265
- 1,339
Lisu ndiye mropokajiHuyu form four failure anaejiita wa darasa la saba ni mropokaji.
Lisu ni mjinga sana Na hata wanaomtetea nao ni wajinga tu. bora afie ulaya hukoMnadhani kwann Jamaa anapiga sana kelele, ni kulinda tumbo anahofu ya jina kutokurudi 2020 kumbuka mwaka aliwahi mgusa mtoto wa mfalme hivo ni kama njia ya kuonewa huruma jina lirudi. Chochote utakacho sema vibaya juu ya TL kitamfurahisha mfalme nae utapewa fadhila ya teuzi.Thus wanamponda TL kulinda matumbo yao.
Lasaba B huyo! teh! Tumekosa nini watanzania?Yani huyo kilaza naye eti ni "kiongozi"Akiongea ktk kipindi cha AJENDA 2020 cha Star TV amedai kua bunge lijalo lazima ahakikishe Tundu Lisu anafukuzwa bungeni kwani amekua mzururaji huko marekani na ulaya badala ya kuwakilisha wananchi wake amedai atahakikisha anamwomba spika muongozo wa spika ilikujua hoja yake ya kumnyang'anya mshahara wake imefikia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakufa wewe na ukoo wako kwanzaLisu ni mjinga sana Na hata wanaomtetea nao ni wajinga tu. bora afie ulaya huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu!! Shetani yuko kaziniLisu ni mjinga sana Na hata wanaomtetea nao ni wajinga tu. bora afie ulaya huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Napinga hata kama unaubunifu gani kama hujasoma kaa unakaa pembeni elimu n tofauti na ujingaKibajaji darasa la tatu na Jah people aliishia Chekechea lakini ndio wanaongoza kwa ubunifu bungeni zaidi ya hizo PhD za akina Kabudi!
Hakuna ubunifu bila elimuNapinga hata kama unaubunifu gani kama hujasoma kaa unakaa pembeni elimu n tofauti na ujinga
Hili bao mzee wako angelimwaga bafuni saivi jukwaa lingekua na utulivu wa mjadalaLisu ni mjinga sana Na hata wanaomtetea nao ni wajinga tu. bora afie ulaya huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwayo vyovyote napinga hii ya MTU kujua tu kusoma na kuandika aingie bungeni huu ni upuuzi wa hali ya juu
Mbona kubenea darasa la Nne?Dah watu wengine wapumbavu sana. Hivi inakuwaje hao Wasukuma wa Geita wanachagua darasa la saba kuwa mbunge? Hakuna hata form four failure huko Geita?
Mnyika darasa la ngapi? Saed kubenea darasa la Nne Joseph Mbilinyi Peter msigwa godbless Lema.Kibajaji darasa la tatu na Jah people aliishia Chekechea lakini ndio wanaongoza kwa ubunifu bungeni zaidi ya hizo PhD za akina Kabudi!
Wewe wasema
Ubunge wa Tundu Lissu ndio unazuia Tanzania ya Viwanda!! Wabunge wapuuzi kama hawa hawana faida yoyote kwa taifa zaidi ya hasaraAkiongea ktk kipindi cha AJENDA 2020 cha Star TV amedai kua bunge lijalo lazima ahakikishe Tundu Lisu anafukuzwa bungeni kwani amekua mzururaji huko marekani na ulaya badala ya kuwakilisha wananchi wake amedai atahakikisha anamwomba spika muongozo wa spika ilikujua hoja yake ya kumnyang'anya mshahara wake imefikia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app