Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,464
- 37,711
Upinzani gani? TZ kuna upinzani kwani?Tatizo lilikuwa kukubali mikutano ya kisiasa ukatazwa. Pale pale upinzani walitakiwa kukiwasha
Acheni kudhalilisha la 7, kuna std 7 wanao weza ku reason.Siku hiz msemaji wa ccm ni Msukuma...sabab hakuna hoja ni blah blah za class 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli Polepole hawafanani na Dr.Mashingi Huyu ni bw.Polepole yule ni Dr.Mashingi ccm oyeeeeMusukuma amewashangaa watu wanaodai kwamba kama mikutano ya kisiasa imekatazwa mbona Polepole anazunguka nchi nzima kufanya mikutano hiyo na Mashinji akijaribu kufanya tu anakamatwa?
Katika kujibu hoja hiyo Musukuma amesema kwamba ni mjinga pekee ndiye atakaye mfananisha Polepole na Mashinji. Lakini kiukweli hawa ni watu wawili tofauti.
Musukuma ametoa tofauti ya Polepole na Mashinji kwa kusema kwamba:
1. Polepole ndiye mwenye serikali yake. Je, Mashinji anaserikali gani?
2. Polepole anatekeleza na kueneza ilani ya chama. Je,Mashinji anaeneza ilani gani?
3. Polepole anafungua miradi mbalimbali ya kiserikali, je mashinji anataka kufungua miradi gani?
Musukuma amesema ni bora Polepole aachwe afanye mikutano hiyo na Mashinji asubiri mpaka 2020 ndiyo aanze kuzunguka ila kwa sasa atulie.
Akiongezea kidogo msukuma amesema anafurahi serikali kumfutiaTundu Lisu mshahara kwani haoni faida yoyote ya kulipwa Mshahara kwa mbunge ambaye anazurura hovyo.
Source: Star TV AJENDA 2020
Kuwa darasa la 7 siyo excuse, mkuu!tuna maprof ambao ni even more worse. Nadhani tungetoka huko kwenye kujadili elimu za watu maana kuna wanaosoma sana tu lakini! mmmhSiku hiz msemaji wa ccm ni Msukuma...sabab hakuna hoja ni blah blah za class 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo bado hatujamsikia Musiba. Kilangila.Kwa nini CCM imeamua kuwatumia wajinga kujibu hoja?
Musukuma amewashangaa watu wanaodai kwamba kama mikutano ya kisiasa imekatazwa mbona Polepole anazunguka nchi nzima kufanya mikutano hiyo na Mashinji akijaribu kufanya tu anakamatwa?
Katika kujibu hoja hiyo Musukuma amesema kwamba ni mjinga pekee ndiye atakaye mfananisha Polepole na Mashinji. Lakini kiukweli hawa ni watu wawili tofauti.
Musukuma ametoa tofauti ya Polepole na Mashinji kwa kusema kwamba:
1. Polepole ndiye mwenye serikali yake. Je, Mashinji anaserikali gani?
2. Polepole anatekeleza na kueneza ilani ya chama. Je,Mashinji anaeneza ilani gani?
3. Polepole anafungua miradi mbalimbali ya kiserikali, je mashinji anataka kufungua miradi gani?
Musukuma amesema ni bora Polepole aachwe afanye mikutano hiyo na Mashinji asubiri mpaka 2020 ndiyo aanze kuzunguka ila kwa sasa atulie.
Akiongezea kidogo msukuma amesema anafurahi serikali kumfutiaTundu Lisu mshahara kwani haoni faida yoyote ya kulipwa Mshahara kwa mbunge ambaye anazurura hovyo.
Source: Star TV AJENDA 2020
Wewe huwezi kujilinganisha na Musukuma hata kidogo japo hana shule lakini ana IQ kubwa sana
Sasa watu kama hawa akina Msukuma na jirani yake katiba kuisokotea Bange si jambo la Kawaida.Hizi ndio akili za CCM!
Nyani haoni kundule
So sad mkuuDereva kigezo lazima angalau form 4, mbunge ajue tu kusoma na kuandika
Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya kubebwa na ilani ya chama, bado Pole Pole yupo njema kihaiba kuliko Mashinji.Musukuma amewashangaa watu wanaodai kwamba kama mikutano ya kisiasa imekatazwa mbona Polepole anazunguka nchi nzima kufanya mikutano hiyo na Mashinji akijaribu kufanya tu anakamatwa?
Katika kujibu hoja hiyo Musukuma amesema kwamba ni mjinga pekee ndiye atakaye mfananisha Polepole na Mashinji. Lakini kiukweli hawa ni watu wawili tofauti.
Musukuma ametoa tofauti ya Polepole na Mashinji kwa kusema kwamba:
1. Polepole ndiye mwenye serikali yake. Je, Mashinji anaserikali gani?
2. Polepole anatekeleza na kueneza ilani ya chama. Je,Mashinji anaeneza ilani gani?
3. Polepole anafungua miradi mbalimbali ya kiserikali, je mashinji anataka kufungua miradi gani?
Musukuma amesema ni bora Polepole aachwe afanye mikutano hiyo na Mashinji asubiri mpaka 2020 ndiyo aanze kuzunguka ila kwa sasa atulie.
Akiongezea kidogo msukuma amesema anafurahi serikali kumfutiaTundu Lisu mshahara kwani haoni faida yoyote ya kulipwa Mshahara kwa mbunge ambaye anazurura hovyo.
Source: Star TV AJENDA 2020