Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Nimeamini watu wanapiga pesa kimya kimya bila kujulikana, Mwaka 2012 Aliyekuwa waziri wa Fedha ndugu Mkulo wakati wa upekuzi nyumbani kwake '' Alikutwa na Vogue 2 na Land Cruiser 2 zote mpya hata nylon hazijatolewa kwenye magari yenyewe nyumbani kwake Mikocheni.
Jeuri yote ya pesa kumbe kaiba pesa za umma, nina imani na Rais Magufuli mafisadi wote walioiingizia serikali hasara watafirisiwa.
Soma zaidi: Mkulo, Maige, Ngeleja kikaangoni TAKUKURU
Jeuri yote ya pesa kumbe kaiba pesa za umma, nina imani na Rais Magufuli mafisadi wote walioiingizia serikali hasara watafirisiwa.
Soma zaidi: Mkulo, Maige, Ngeleja kikaangoni TAKUKURU