Mustafa Mkullo haziheshimu sheria za barabarani

Haya ni matokeo ya kulewa madaraka na kuteteana.CCM bwana hata hao wasomi na waadilifu bado hawana nafasi ya kusimamia mema hata pale wakiweza kufanya hayo .
 
Huoni hapo wa kulaumiwa ni Mkullo??

Hapana mkuu, wa kulaumiwa hapo ni dereva mwenyewe. Maswala ya magari, mhusika wa kosa ni yule anayeendesha.

Kuna makosa mengine ambayo hata unayeona kosa, kama hujalizuia au kutoa taarifa nawe ni mkosaji. Kwenye kuendesha gari sidhani kama ni mojawapo.

Sana sana tu kama waziri na kama anajua sheria za barabarani, ungetegemea amwambie dereva wake kwamba anafanya makosa. Lakini naamini lawama hapa ni za dereva mwenyewe.

Pia kuna sheria za nchi ambazo zinaruhusu baadhi ya watu kutokufuata sheria za barabarani. Kwa mfano kama Mkullo alikuwa na kikao muhimu na WB cha kujadili njaa. Anaweza kuruhusiwa kukiuka baadhi ya sheria za barabarani. Kwenye hii case huenda hatuna taarifa kamaili juu ya kwanini hili lilitokea.
 
Hapana mkuu, wa kulaumiwa hapo ni dereva mwenyewe. Maswala ya magari, mhusika wa kosa ni yule anayeendesha.

Kuna makosa mengine ambayo hata unayeona kosa, kama hujalizuia au kutoa taarifa nawe ni mkosaji. Kwenye kuendesha gari sidhani kama ni mojawapo.

Sana sana tu kama waziri na kama anajua sheria za barabarani, ungetegemea amwambie dereva wake kwamba anafanya makosa. Lakini naamini lawama hapa ni za dereva mwenyewe.

Pia kuna sheria za nchi ambazo zinaruhusu baadhi ya watu kutokufuata sheria za barabarani. Kwa mfano kama Mkullo alikuwa na kikao muhimu na WB cha kujadili njaa. Anaweza kuruhusiwa kukiuka baadhi ya sheria za barabarani. Kwenye hii case huenda hatuna taarifa kamaili juu ya kwanini hili lilitokea.

Ndugu yangu Mtanzania , kama Mkutano wa WB au Bunge etc , sio defence, kwa sababu kila Mtanzania anapo taka kuwahi anawahi 90% shughuli ya kujenga taifa, sio kwamba Cheo chako kina onyesha umuhimu wako. eg Je daktari anaye tumia Gari lake Binafsi kuwahi Operation na hatumi gari lenye kimuli kimuli, unakuwaje.
Unajua Baadhi ya watu wanataka short cut , badala ya kufikiria Solution.
Maana tatizo hilo sasa hivi lina ghusa kila sekta, iwe mabalozi, wafanyabiashara, wazalishaji viwandani, watoa huduma etc, je wote hawa wakatishe barabara itakuwaje?
 
Ndugu yangu Mtanzania , kama Mkutano wa WB au Bunge etc , sio defence, kwa sababu kila Mtanzania anapo taka kuwahi anawahi 90% shughuli ya kujenga taifa, sio kwamba Cheo chako kina onyesha umuhimu wako. eg Je daktari anaye tumia Gari lake Binafsi kuwahi Operation na hatumi gari lenye kimuli kimuli, unakuwaje.
Unajua Baadhi ya watu wanataka short cut , badala ya kufikiria Solution.
Maana tatizo hilo sasa hivi lina ghusa kila sekta, iwe mabalozi, wafanyabiashara, wazalishaji viwandani, watoa huduma etc, je wote hawa wakatishe barabara itakuwaje?

August,

Mimi nilikuwa najaribu tu kuelezea kwamba kuna wakati ambapo kiongozi wa serikali au mtu mwingine yeyote anaweza kufanya hivyo kwa idhini ya serikali. Sio lazima awe na kimulimuli maana anaweza sitegemee kwamba hali itakuwa hivyo.

Wanachofanya ni kutoa taarifa na uamuzi huchukuliwa juu ya nini cha kufanya.

Imagine rais ameenda kutembea bila gari la kimulimuli (Mkapa alishafanya hivyo mara nyingi tu) na ghafla wakati anarudi kukawa na ajali njiani huku anatakiwa mara moja ikulu, unafikiri watasubiri kimulimuli? Kwanza hicho kimulimuli kitafikaje hapo?

Binafsi sihalalishi Mkullo na gari lake kuvunja sheria, ninachosema tu ni kwamba kuna wakati kitendo kama hicho kinaweza kuwa kimeidhinishwa kwa manufaa ya nchi.

Wenzetu waliondelea cases zote zinanaswa na camera na baada ya receipt ya fine kutolewa, dereva mhusika hupeleka maelezo na kisha hiyo fine kufutwa. Hii pia inazuia watu wenye magari yenye vimulimuli kutokuvitumia wakati hawako kwenye kazi maalumu.
 
Hivi ni mara ngapi mmemshuhudia Mkullo akitumia njia hiyo ya dharula...........Hivi kuna mmoja kati yenu aliyemsimamisha na kumuuliza kama alikuwa na dharula au lah??...........mlitaka aanze kuwaambia nina dharula ndio mkubali..........hata wewe Tuandamane ungekuwa na dharula.........ni rukhsa.......au?

.........dharula iwe dharula kweli na isiwe abused.......otherwise law enforcers ndio wana matatizo..............

Labda alikuwa anashangilia serikali ya Uingereza kutoa fedha za kusaidia bajeti ya serikali
 
Hivi sheria za barabarani ndio hizo hizo sheria za nchi?
Ama ni tofauti?
Wanasheria tuelimishane hapo...Maana kama sheria za nchi zilishavunjwa kwa sana tu..Then hizi za barabarani ni sawa na kumlaumu mtu kwa kula kachumbali na huku ni wazi hata pilao lenyewe keshalimaliza.
 
Back
Top Bottom