Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Now
Then
Wadau kupungua kwa kiasi hiki hakuna athari kiafya kweli??
Then
Wadau kupungua kwa kiasi hiki hakuna athari kiafya kweli??
au amepata tatizo la kiafya
wadau huyu amepungua au amekonda!!!!!!!
Nasikia amefanyiwa operation ya kupunguza minyama uzembe kule India, Mmmh kwa kweli huku si kupunguza minyama bali ni kukwangua minyama tiba zingine bwana baraaah
atakuwa amefanya tummy tucks
embu plse tuwekee picha yake ya karibuni,:A S 13:Bora usingefukua hii thread. Hali yake ni tete sasa hivi. Amefumuka! Namhurumia kwa kweli, weight struggle isikie kwa mwenzio