Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Mkuu kulingana na herufi za Vyama inabidi yafuatane je tunafanyaje?
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Ujanja wao kikomo 25 October
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Ikiwa karatasi ni black and white,mvi za Lowassa hazitaonekana
Kwa nini jina la Lowasa na Magufuli yamefuatana? sina imani kwenye ukunjaji wa karatasi
Yule mzee wa push ups je?
Ocampo four
Bwana #HapaMatusiTu amezunguka kote akijaribu kujiweka mbali na lichama chakavu,ili pengine limuondolee GUNDU kumbe mwisho wa siku alama ya jembe na nyundo ipo beneath to Voting box..hahahah....! Mwaka huu lazima tuwanyoe hawa wanaizaya..!
Tukutane 25th Octobre!
na itakuwa ni tatizo sana maana mm bibi yangu kijijini nimeshamwambia aangalie mvu tu...
Ujanja wao kikomo 25 October
Yule mzee wa push ups je?
Yule mzee wa push ups je?