Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,762
- 155,465
SHULE YA MSINGI JANJAJANJA...
Ticha: Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Dent 1: Sio mimi!
Dent 2: Walla sihusiki.!
Dent 3:Kwanza mimi jana sikuja shule.!
Ticha alipoona kuwa wanafunzi wote ni majuha,akaamua kumuita Mkuu wa shule.Mkuu akawauliza swali lile lile,
mambo yakawa vile vile,Ndipo Mkuu alipomuita Mwalimu pembeni na kumnong'oneza.
"LAKINI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO
DARASA HILI?"
Ticha: Ni nani aliyemuua Chifu Mkwawa?
Dent 1: Sio mimi!
Dent 2: Walla sihusiki.!
Dent 3:Kwanza mimi jana sikuja shule.!
Ticha alipoona kuwa wanafunzi wote ni majuha,akaamua kumuita Mkuu wa shule.Mkuu akawauliza swali lile lile,
mambo yakawa vile vile,Ndipo Mkuu alipomuita Mwalimu pembeni na kumnong'oneza.
"LAKINI UNA UHAKIKA MUUAJI YUPO
DARASA HILI?"