theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
Kulingana na joji marato wa ITV, akimnukuu mkuu wa wilaya ya Musoma, chakula cha njaa kilichopangwa kupelekwa Musoma kilipelekwa Igunga wakati wa uchaguzi mdogo, na kwamba ndiyo sababu ya kuchelewa kuwapelekea wananchi waliokumbwa na uhaba mkubwa wa njaa wilayani humo, kiasi cha kushindia mboga za majani, mgagani. Haya, ama kweli walisema, kama ni wananchi kula nyasi na wale ili mradi, mradi wa serikali ya CCM ufanikiwe..