willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Wanajamvi speed ninayopata musoma mjini kwenye tecno n3 yangu ni noma nashusha movie kupitia torrent app ya Mb256 kwa dakika 10 yaan nahisi miujiza lakin nilipokuwa arusha Mb 256 nashusha kwa masaa matatu daah au ni tecno yangu ndo inaspeed.nikiangalia speed rate kwenye torrent ni 650kBps lakini arusha ikienda sana ni 240kBps