Wakati wana CHADEMA wanashangilia ushindi wa mbunge mpya Vincent Kiboko Nyerere kwenye viwanja vya wazi, mwananchi mwenye mavazi ya CCM alikatisha uwanjani na kujaribu kuharibu sherehe. Amepigwa panga la kichwa na mwili wake unahifadhiwa hospitali ya mkoa.
(Huko Kisesa Mwanza, wananchi wenye hasira waliochoka urasimu wa kusubiri kutangaziwa matokeo wamechoma maboxi 6 ya kura. Wasimamizi wamekimbizwa. Uchaguzi huenda ukarudiwa.)
(Huko Kisesa Mwanza, wananchi wenye hasira waliochoka urasimu wa kusubiri kutangaziwa matokeo wamechoma maboxi 6 ya kura. Wasimamizi wamekimbizwa. Uchaguzi huenda ukarudiwa.)